Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

duh !。
p
 
Aliyeuona uongo akausadiki ilihali anajua kbs kuwa ni uongo,na yeye ni muongo pia.
Hvi na wewe ni muongo km hujijuw
 
Aliyeuona uongo akausadiki ilihali anajua kbs kuwa ni uongo,na yeye ni muongo pia.
Hvi na wewe ni muongo km hujijuw
ili jambo liwe uongo ni lazima ukweli ujulikane, ukiambiwa kitu na shuhuda aliyeshuhudia utaamini ni ukweli unless aje shuhuda mwingine kukanusha kuwa huo ni ushuhuda wa uongo,ukisema jambo fulani ni uongo, unausema ukweli kukanusha huo uongo!。 Ukweli ni upi?。
P
 
Nimekuwekea na link hii uangalie live waarabu walivyokuwa wanafanywa na kukimbia ovyo kujinusuru..

View: https://youtu.be/Ss-lfLLzV-k?si=h_65vXtkETR6Zk7s
some of these videos sio za kweli kwasababu shooting color film ilikuwa ikifanywa 16mm real, na was very expensive, hivyo the authenticity of hizo videos ni doubtiful na sijui kwanini mpaka leo mashuhuda wa Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar hawausemi ukweli wa ni nini haswa kilichojiri。 Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1
P
 
wakili msomi kwa karne hii na tekinolojia ilivyokuwa ni rahisi sana kuconvert colorless video za zamani kuziweka rangi ikaonekana kwenye uhalisia..
Hizo clip ni za zanzibar nimekaa huko nayajua hayo maeneo vyema na zipo clip nyingi tofauti tofauti.
 
Mwana JF, Paskali, anakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA MAPINDUZI MATUKUFU
YA ZANZIBAR!
Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…