Matojo Cosatta
JF-Expert Member
- Jul 28, 2017
- 234
- 390
- Thread starter
-
- #21
Mahakama ya Kikatiba ya Afrika Kusini mwezi Juni mwaka huu ilibatilisha sheria inayozuhia wagombea binafsi katika kesi New Nation Movement NPC and Others v President of the Republic of South Africa and Others[ 2020] ZACC 11, hivyo, wagombea binafsi wanaruhusiwa kushiriki uchaguzi nchini Afrika Kusini.Mapingamizi namba 4 na 5 yanavunja misingi ya haki ya Watanzania kuchaguliwa uongozi.
Nafikiri hata Ripoti ya Jaji Nyalali ilishauri tuondoe sharti la wagombea kuwa wanachama wa vyama vya siasa.
Hongera Sana mkuu umefanya Jambo la maana kuweka hadharani ili tume , wakifanya ujinga dunia nzima ijue.MAPINGAMIZI HALALI KISHERIA DHIDI YA MGOMBEA NAFASI YA URAIS.
Wiki ijayo tarehe 26 August, 2020 itakuwa ni siku ya wagombea kuwasilisha mapingamizi dhidi ya wagombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mapingamizi halali kisheria anayoweza kuwekewa mgombea wa nafasi ya Urais kwa mujibu wa masharti ya ya Kifungu cha 35 D na 40 (1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura 343 yakisomeka kwa pamoja na (read in tendem with) masharti ya Kanuni ya 39 (4) ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais na Wabunge, 2020 (Tangazo la Serikali Na. 402 la 2020) ni haya yafuatayo;
(1) Mgombea Urais sio raia wa Tanzania.
(2) Mgombea Urais hajafikisha umri wa miaka 40.
(3) Mgombea Urais hajui kusoma na kuandika Kiswahili au Kiingereza.
(4) Mgombea Urais sio mwanachama wa chama cha siasa.
(5) Mgombea Urais hajadhaminiwa na chama cha siasa kugombea.
(6) Mgombea Urais amekutwa na hatia ya kosa la jinai la kukwepa kodi katika kipindi cha miaka 5 kabla ya siku ya Uchaguzi.
(7) Mgombea Urais hajadhaminiwa na wapiga kura 200 kutoka mikoa 10 ya Tanzania ikiwemo mikoa 2 kutoka Zanzibar.
(8) Mgombea Urais hajadhaminiwa na idadi ya kutosha ya wapiga kura.
(9) Mgombea Urais hakulipa dhamana ya Tshs 1, 000, 000/=
(10) Mgombea Urais hakuwasilisha au hakuambatinisha picha kwenye Fomu ya Uteuzi.
(11) Mgombea Urais ameshindwa kuambatanisha Tangazo la Kisheria (statutory declaration) kwenye Fomu ya uteuzi ambalo limesainiwa na mgombea na limefanywa mbele ya Jaji kudhibitisha kuwa mgombea anayo nia na anazo sifa za kugombea Urais.
(12) Mgombea Urais ameshindwa kuweka wazi pesa ambazo atazitumia katika uchaguzi.
(13) Mgombea Urais hakusaini kukubali kutii Maadili ya Uchaguzi.
(14) Mgombea Urais hakujaza au hakurudisha Fomu ya Uteuzi kwa Tume ya Taifa Uchaguzi kwa mujibu wa matakwa ya sheria.
(15) Mgombea Urais amefanya makosa ambayo yamezuhiwa na Sheria ya Gharama za Uchaguzi, 2010.
(16) Kutokana na taarifa ambazo ziko kwenye Fomu yake ya Uteuzi, mgombea hana sifa za kuwa mgombea wa nafasi ya Ubunge au mjumbe wa baraza la wawakilishi la Zanzibar zilizoainishwa na Katiba husika.
(17) Taarifa ambazo mgombea Urais amewasilisha kwa Tume ya Taifa uchaguzi hazijitoshelezi kumtambua mgombea.
(18) Kutokana na taarifa ambazo ziko kwenye Fomu yake ya Uteuzi, hana sifa za kuwa mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zilizoainishwa na Katiba.
Haya ndo mapingamizi 18 pekee ambayo anaweza kuwekewa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sio vinginevyo.
Akatwe tu kwa kweli. Watumie sababu yoyote ile, la sivyo atatupa shida sana!Umewaza kama mimi,ila haya mambo yataisha siku CCM iikitoka madarakani.
na hii ndiyo sifa ya jf hoja kwa hoja, safi sana mkuuKuanza Kampeini mapema (pre-mature election campaign) sio kosa chini ya sheria za uchaguzi za Tanzania. Kuanza Kampeini mapema hakumuondolei mtu sifa za kugombea Urais katika Sheria za Uchaguzi za Tanzania.
Kuanza Kampeini mapema ni kosa chini ya sheria za ndani za CCM lakini sio kwenye sheria za nchi.
Halaf kwanini wanatamani sana Lissu aenguliwe? Kiberenge si amejenga madaraja? Sasa hofu yao inatokana na niniMATAGA,Lissu anaingia wapi hapo kwa hoja ya kufanya kampeni kabla ya wakati?
Umefanya jambo la maana sana kuleta hii habari.
Hapa pia anajiuliza,mtu huyu ambae hajapitishwa na Tume, anaitwaje mgombea uraisi?
Sasa kuna maana gani ya kumuwekea pingamizi mtu asigombea na hapo hapo tayari anatambulika/anatajwa kama mgombea?
Je,tumekosa msamiati wa kiswahili katika hili au mimi ndio sielewi?
GREAT POST.MAPINGAMIZI HALALI KISHERIA DHIDI YA MGOMBEA NAFASI YA URAIS.
Wiki ijayo tarehe 26 August, 2020 itakuwa ni siku ya wagombea kuwasilisha mapingamizi dhidi ya wagombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mapingamizi halali kisheria anayoweza kuwekewa mgombea wa nafasi ya Urais kwa mujibu wa masharti ya ya Kifungu cha 35 D na 40 (1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura 343 yakisomeka kwa pamoja na (read in tendem with) masharti ya Kanuni ya 39 (4) ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais na Wabunge, 2020 (Tangazo la Serikali Na. 402 la 2020) ni haya yafuatayo;
(1) Mgombea Urais sio raia wa Tanzania.
(2) Mgombea Urais hajafikisha umri wa miaka 40.
(3) Mgombea Urais hajui kusoma na kuandika Kiswahili au Kiingereza.
(4) Mgombea Urais sio mwanachama wa chama cha siasa.
(5) Mgombea Urais hajadhaminiwa na chama cha siasa kugombea.
(6) Mgombea Urais amekutwa na hatia ya kosa la jinai la kukwepa kodi katika kipindi cha miaka 5 kabla ya siku ya Uchaguzi.
(7) Mgombea Urais hajadhaminiwa na wapiga kura 200 kutoka mikoa 10 ya Tanzania ikiwemo mikoa 2 kutoka Zanzibar.
(8) Mgombea Urais hajadhaminiwa na idadi ya kutosha ya wapiga kura.
(9) Mgombea Urais hakulipa dhamana ya Tshs 1, 000, 000/=
(10) Mgombea Urais hakuwasilisha au hakuambatinisha picha kwenye Fomu ya Uteuzi.
(11) Mgombea Urais ameshindwa kuambatanisha Tangazo la Kisheria (statutory declaration) kwenye Fomu ya uteuzi ambalo limesainiwa na mgombea na limefanywa mbele ya Jaji kudhibitisha kuwa mgombea anayo nia na anazo sifa za kugombea Urais.
(12) Mgombea Urais ameshindwa kuweka wazi pesa ambazo atazitumia katika uchaguzi.
(13) Mgombea Urais hakusaini kukubali kutii Maadili ya Uchaguzi.
(14) Mgombea Urais hakujaza au hakurudisha Fomu ya Uteuzi kwa Tume ya Taifa Uchaguzi kwa mujibu wa matakwa ya sheria.
(15) Mgombea Urais amefanya makosa ambayo yamezuhiwa na Sheria ya Gharama za Uchaguzi, 2010.
(16) Kutokana na taarifa ambazo ziko kwenye Fomu yake ya Uteuzi, mgombea hana sifa za kuwa mgombea wa nafasi ya Ubunge au mjumbe wa baraza la wawakilishi la Zanzibar zilizoainishwa na Katiba husika.
(17) Taarifa ambazo mgombea Urais amewasilisha kwa Tume ya Taifa uchaguzi hazijitoshelezi kumtambua mgombea.
(18) Kutokana na taarifa ambazo ziko kwenye Fomu yake ya Uteuzi, hana sifa za kuwa mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zilizoainishwa na Katiba.
Haya ndo mapingamizi 18 pekee ambayo anaweza kuwekewa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sio vinginevyo.
NI KWELI KABISACcm ni utopolo,mtu mwenye akili timamu huwezi kutamani kuongozwa na miaka mitano mingine
HAWANA UWEZO WA KUSHINDANA NA LISSU WANAJUWA ATAWAPIGA ASUBUHI TU HUONI MFALME FARAO ALIVYOPAUKA BAADA YA KUREJEA KWA ADVOCATE LISSU.Halaf kwanini wanatamani sana Lissu aenguliwe? Kiberenge si amejenga madaraja? Sasa hofu yao inatokana na nini
NDIVYO AKILI ZENU ZILIPOISHIA NZI WA KIJANIAkatwe tu kwa kweli. Watumie sababu yoyote ile, la sivyo atatupa shida sana!
Asante sanaGREAT POST.
UBARIKIWE SANA.Asante sana
Asante sana kwa baraka hizi.UBARIKIWE SANA.
HIZI NDIO HOJA TUNAZOZITAKA JF, SIO WALE WAPIGA KELELE ZA CHURAAsante sana kwa baraka hizi.
Tunakushukuru sana kwa vielelezoMAPINGAMIZI HALALI KISHERIA DHIDI YA MGOMBEA NAFASI YA URAIS.
Wiki ijayo tarehe 26 August, 2020 itakuwa ni siku ya wagombea kuwasilisha mapingamizi dhidi ya wagombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mapingamizi halali kisheria anayoweza kuwekewa mgombea wa nafasi ya Urais kwa mujibu wa masharti ya ya Kifungu cha 35 D na 40 (1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura 343 yakisomeka kwa pamoja na (read in tendem with) masharti ya Kanuni ya 39 (4) ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais na Wabunge, 2020 (Tangazo la Serikali Na. 402 la 2020) ni haya yafuatayo;
(1) Mgombea Urais sio raia wa Tanzania.
(2) Mgombea Urais hajafikisha umri wa miaka 40.
(3) Mgombea Urais hajui kusoma na kuandika Kiswahili au Kiingereza.
(4) Mgombea Urais sio mwanachama wa chama cha siasa.
(5) Mgombea Urais hajadhaminiwa na chama cha siasa kugombea.
(6) Mgombea Urais amekutwa na hatia ya kosa la jinai la kukwepa kodi katika kipindi cha miaka 5 kabla ya siku ya Uchaguzi.
(7) Mgombea Urais hajadhaminiwa na wapiga kura 200 kutoka mikoa 10 ya Tanzania ikiwemo mikoa 2 kutoka Zanzibar.
(8) Mgombea Urais hajadhaminiwa na idadi ya kutosha ya wapiga kura.
(9) Mgombea Urais hakulipa dhamana ya Tshs 1, 000, 000/=
(10) Mgombea Urais hakuwasilisha au hakuambatinisha picha kwenye Fomu ya Uteuzi.
(11) Mgombea Urais ameshindwa kuambatanisha Tangazo la Kisheria (statutory declaration) kwenye Fomu ya uteuzi ambalo limesainiwa na mgombea na limefanywa mbele ya Jaji kudhibitisha kuwa mgombea anayo nia na anazo sifa za kugombea Urais.
(12) Mgombea Urais ameshindwa kuweka wazi pesa ambazo atazitumia katika uchaguzi.
(13) Mgombea Urais hakusaini kukubali kutii Maadili ya Uchaguzi.
(14) Mgombea Urais hakujaza au hakurudisha Fomu ya Uteuzi kwa Tume ya Taifa Uchaguzi kwa mujibu wa matakwa ya sheria.
(15) Mgombea Urais amefanya makosa ambayo yamezuhiwa na Sheria ya Gharama za Uchaguzi, 2010.
(16) Kutokana na taarifa ambazo ziko kwenye Fomu yake ya Uteuzi, mgombea hana sifa za kuwa mgombea wa nafasi ya Ubunge au mjumbe wa baraza la wawakilishi la Zanzibar zilizoainishwa na Katiba husika.
(17) Taarifa ambazo mgombea Urais amewasilisha kwa Tume ya Taifa uchaguzi hazijitoshelezi kumtambua mgombea.
(18) Kutokana na taarifa ambazo ziko kwenye Fomu yake ya Uteuzi, hana sifa za kuwa mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zilizoainishwa na Katiba.
Haya ndo mapingamizi 18 pekee ambayo anaweza kuwekewa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sio vinginevyo.
Jiwe asijaribu kutuvuruga kupitia hiyo TUME YAKE YA MFUKONI, aache demokrasia ichukue mkondo wake ili tuchague Mgombea tumtakaye.si usome?
MWAKA HUU HAMJASUSIA TUME??Jiwe asijaribu kutuvuruga kupitia hiyo TUME YAKE YA MFUKONI, aache demokrasia ichukue mkondo wake ili tuchague Mgombea tumtakaye.
Wachumia tumbo kama wewe inabidi mkubaliane na hali halisi, Utawala wa Mkono wa Chuma sasa basi..
Mimi hapa natoa elimu tu sina ugomvi na mtu.CCM watakuloga, ngoja johnthebaptist aende kwa Sheikh Sharif majini!
Jana na leo shughuri hazijafanyika huku niliko, kisa kitambulisho cha WAMACHINGA! Waendesha baiskeli kwa kubeba abilia, Shinyanga mjini hawana hamu! Bila kitambulisho hicho, unanyang'anywa baiskeli yako!Jiwe asijaribu kutuvuruga kupitia hiyo TUME YAKE YA MFUKONI, aache demokrasia ichukue mkondo wake ili tuchague Mgombea tumtakaye.
Wachumia tumbo kama wewe inabidi mkubaliane na hali halisi, Utawala wa Mkono wa Chuma sasa basi..