Devotha Ninja chadema morogoro kafutwa kwa sababu ya kosa Hilo apo unasemajeTundu Lissu na usomi wake aliweka pingamizi kuwa fomu ya mgombea wa Ccm haina picha na haikuwakilishwa kwa mujibu wa sheria. Je hii inaingia akilini kweli!
Toa maelezo yaliyokamilika usiwe kama mtu asiye na ubongo. Fomu za mgombea wa Ccm zilikuwa hazina picha? Hazikuwakilishwa kwa mujibu wa sheria?Devotha Ninja chadema morogoro kafutwa kwa sababu ya kosa Hilo apo unasemaje
Haki huinua Taifa
hizo alizozikimbia Mheshimiwa Pombe.Hoja zipi?
Hizo taarifa muhimu ni pamoja na viambatanisho vyote vinavyohitajika kwa mujibu wa sheria na kanuni za Uchaguzi.Msingi wa kujaza fomu ni mtu kuweka taarifa zake muhimu kulingana na matakwa ya nafasi anayoomba.
Kosa hilo hilo ndilo lililomwengua Devotha Minja kule Morogoro!! Labda kwa watu wazito kuelewa Sawa tu, lakini wenye akili wanajua kwamba Lisu ameweka record na starndads kwenye mapingamizi! Itakua vigumu tume kuengua wapinzani kwa mapingamizi ya kijinga! Hiyo inaitwa kukaangwa na mafuta yako mwenyewe!Tundu Lissu na usomi wake aliweka pingamizi kuwa fomu ya mgombea wa Ccm haina picha na haikuwakilishwa kwa mujibu wa sheria. Je hii inaingia akilini kweli!
Zimekosewaje?Hayo mapingamizi angekua kawekewa Tundu Lissu au Bernad Membe, basi wangetolewa kwenye ugombeaji tena kwa vijembe na kejeli vya 4G.
Ni wazi form zimekosewa na zinamapungufu. Ila kama Tundu Lissu atakata rufaa mahakamani, basi Magufuli anaweza akaondolewa kwenye mchakato wa kugombea.
Mbona mnakuwa kama walevi wa Konyagi? Jibu swali Fomu ya mgombea wa Ccm haikuwa na picha?Kosa hilo hilo ndilo lililomwengua Devotha Minja kule Morogoro!! Labda kwa watu wazito kuelewa Sawa tu, lakini wenye akili wanajua kwamba Lisu ameweka record na starndads kwenye mapingamizi! Itakua vigumu tume kuengua wapinzani kwa mapingamizi ya kijinga! Hiyo inaitwa kukaangwa na mafuta yako mwenyewe!
unanifokea nini changudoa wa malunde?Mbona mnakuwa kama walevi wa Konyagi? Jibu swali Fomu ya mgombea wa Ccm haikuwa na picha?
Acha kula bangi na Konyagiunanifokea nini changudoa wa malunde?
Umepaniki changudoa!Acha kula bangi na Konyagi
Inachekesha, hasa hapo unaposema jivi karibuni. Kwa hiyo kama si hivi karibuni kosa linafutika?mgombea anaweza kuonekana hana sifa kwa mfano mtu aliyetoka jela kwa kosa la jinai/rushwa hivi karibuni.