Mapishi kwa asiyejua


Mkuu, ala huyu huyu wa alshababu, boko haramu na alquida au kuna mwingine?
 
Yaani umenichekesha.................. Ndio maana ya kujaribu ila pia huenda watoto wakanikubali kuliko hata mama yao kwenye mambo ya mapishi.

Kama idea ipo, hapa ni kutaka tu kwenda kujaribu kitu tofauti sawa.....Ila kama hapa ndio pa kuanzia jamani....aah, hata hao watoto wataumizwa bwana.....Na huyo mama mwenye nyumba itabidi ajikaze tu ili kukufurahisha...uongo?

Jaribu mwaya.....nilikuwa naogopa tu gharama ya surprise...
 
Mkuu ulifanikiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…