Mapishi ya Chapati: Jikoni kwa Evelyn Salt & Mentor

Sijui ni macho yangu au roho mbaya yangu! naona round hujaipatia kabisa muombe akuelekeze how to round them, [emoji30][emoji30][emoji30][emoji30] ila umewazidi hata ke wangi wa humu
@CIkey
Maweeeee aisee ntake radhi kwa hasira leo naenda kuzipika hzo zitakuwa cha mtt
 
hizo chapati za watu wangapi na walio nchi gani, AFRICA NINAVOJUA FOOD IS QUANTITY
 
Sijui ni macho yangu au roho mbaya yangu! naona round hujaipatia kabisa muombe akuelekeze how to round them, [emoji30][emoji30][emoji30][emoji30] ila umewazidi hata ke wangi wa humu
@CIkey


Hahahah mkuu hapo unanionea wivu tu mkuu! Usiwe kama FaizaFoxy


Maweeeee aisee ntake radhi kwa hasira leo naenda kuzipika hzo zitakuwa cha mtt

Ushahidi wa picha nimuhimu. Ikiwezekana tafuta mwana JF aishiye karibu nawe aje kuzi-test! Raha ya chapati ule na mtu, si peke yako.


hizo chapati za watu wangapi na walio nchi gani, AFRICA NINAVOJUA FOOD IS QUANTITY

Kwa vipimo hivyo unatoa chapati nne (nene nene) au kwa wale wapenzi wa chapati nyepesi basi zitatoka sita.
 
sitashibaaaaa
 
Teh teh teh hiyo siyo round about mkuu jaribu tena, kipimo kikuu cha chapati ni round hayo mengne ya uzi uzi sijui laini ni matokeo tu ya moto wako na aina ya ukandaji, Mentor FaizaFoxy njoo unisaidie kumpa mboko huyu kijana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Ndiyo maana nikasema zisizo na ubora.

Ubora wa chapati ni huo mduara wake, wembamba na wepesi wake (chapati hazitakiwi ziwe nene na hazitakiwi ziwe nzito hata kidogo). Cha mwisho ni layers, chapati ni lazima ziwe na layers tatu kwa uchache, hapo ni utaalam wa kukunja.

Mentor,

Chapati zako kwenye picha tu zimekosa yote hayo na zinaonesha ni mabumunda.

Aliyekufunda hajafundika.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] bravo bibi, bora umekuja ww maana kila nikimwambia mimi naona haelewi Mentor Njoo uchukue mawaidha kwa mkongwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…