sina ratiba !mie naibukaga tu!majuz nimetengeneza samosa hyo pilipil sasa jaman!ila zilikuwa soo tastey!Karibu.kesho unabake nini?
Hivi kuna tofauti ya sponge cake na angel food cake?hhhahaa nimetaman hyo sponge cake jaman
Karibu thanasina ratiba !mie naibukaga tu!majuz nimetengeneza samosa hyo pilipil sasa jaman!ila zilikuwa soo tastey!
ila tmr naham na sato wa foil plus dona na chinese nitumie GHEE
Samosa na chapati zimebishinda kabisa dear nifundishesina ratiba !mie naibukaga tu!majuz nimetengeneza samosa hyo pilipil sasa jaman!ila zilikuwa soo tastey!
ila tmr naham na sato wa foil plus dona na chinese nitumie GHEE
Tuma kibamia kwanzaTuma na picha ya chura pia!
HAHAHA MKUU USIMJARIBU ATATUME KWELIITuma na picha ya chura pia!
[emoji23][emoji23][emoji23]HAHAHA MKUU USIMJARIBU ATATUME KWELII
Karibu .Hivi kuna tofauti ya sponge cake na angel food cake?
Kuna aina nyingi sana za cake mkuuHivi kuna tofauti ya sponge cake na angel food cake?
Samosa na chapati zimebishinda kabisa dear nifundishe
Karibu thanaView attachment 809864
Ahahaaa poa.sema mi mvivu wa kusukuma machapatiacha basi !sasa mm kufundisha kwa chats siwez !zamaga you tube!
Weka namba wewe upate mteja unaogopa niniDaah
Sijaweka maziwa .tangawizi tuuwiiii...km nazila vile....na kale ka harufu ka ghee,maziwa ziwa!uwiii
hhaah hapo sawa!Ahahaaa poa.sema mi mvivu wa kusukuma machapati
kwa wajawazito hizo ndo zenyewe znakata kiccheff2Sijaweka maziwa .tangawizi tu
Kumbe kaachwa mbona alisema yeye ni bikraMwanaume aliyekuacha wewe atapata tabu sana
Njoo mama tuyajenge yule alikuwa mbaya sanaHata sikumtaka bwana akwende huko Fala yule
Alikuwa na roho mbaya balaa