Mapishi ya Kitimoto (Pork)

Hahahaha, usiondoke hivivhi mkuu, japo sunna!

wee wee aaargh!unanitia dhambi afu wewe utaibeba unajua?kwani huyo nanihii ladha yake ikoje naona munamsifia kweli,oh basi siendelei kusoma huu uzi ngoja niondoke lakini muweke na picha nyingi tihi hi hi hii!
 

Mkuu katika hizo steps mimi sijakuelewa vizuri. Bakuli za alumium foil ndio zipoje hizo.
Na hayo maelezo ya step ya 11 ndio sijakuelewa kabisaaaa.
Naomba unifanunulie vzr,mana nimevutiwa na mapishi ya hii nyama.
 
Kusema ule ukweli,hii nyama imebarikiwa kwa utamu wajameni..
 

Umenitamanisha sana yaan acha tu!!!!
 
Lunch yangu leo nimepika k/moto rost na ugali wa sembe. Ahsanteni wadau kwa kuweka hatua za mapishi ya hii nyama..
 
Mkuu katika hizo steps mimi sijakuelewa vizuri. Bakuli za alumium foil ndio zipoje hizo.
Na hayo maelezo ya step ya 11 ndio sijakuelewa kabisaaaa.
Naomba unifanunulie vzr,mana nimevutiwa na mapishi ya hii nyama.

Hizo bakuli za aluminium foil ni kama zile wanazowekea ukichukua take away.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…