Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari zenu wapenda wa hili Jukwaa.
Naombeni mwenye kujua mapishi mbalimbali ya maboga anisaidie mie najua kuchemsha tu na maji kidogo pamoja na kutia chumvi kidogo.
Naomba mwenye kujua. p'se
Sipendi maboga..Mungu anisamehe
Boga la Sukari
Boga 3/4 kg lililokwata vipande
chumvi 1/2 tsp
sukari 3/4 cup
Hiliki iliyomenywa na kusaga 1/2 tsp
Nazi 2 glasses
Chukua maboga chemsha na kwenye maji 3 glass, yakikaribia kuiva tia sukari, hiliki na nazi yako ilichujwa. Acha ichemke tena, hakikisha kuwa kuwa yameisha usiache mpaka yakawa laini sana.
Mlo tayari[/QUOTE madame hiyo sukari vipi mbona yenye tayari huwa na sukari asilia? nitarajibu nione yanavyokuwa.