Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,119
- 4,779
Naimani sote humu tushawahi kula hiki chakula/mboga ya maharagwe. Binafsi ni mpenzi sana wa chakula hiki, na huwa nafurahiaga sana kikipikwa vyema kwani kina ladha isiyo kifani.
Kuna sehemu nilialikwa nikakuta maharagwe matamu mno yameandaliwa, hayakuwa ya nazi, ila ladha yake ilifanana kama kuwa na tangawizi hivi.
Yaliandaliwa na chapati, siye tulikuwa tunatoweza katika chapati katika maharagwe hayo. Kuna yeyote anayefahamu kupika vyema hiki chakula aweke ufundi wake hapa.? Nahitaji niduplicate hiki kitu weekend hii.
Cc: farkhina, king'asti n.k
Kuna sehemu nilialikwa nikakuta maharagwe matamu mno yameandaliwa, hayakuwa ya nazi, ila ladha yake ilifanana kama kuwa na tangawizi hivi.
Yaliandaliwa na chapati, siye tulikuwa tunatoweza katika chapati katika maharagwe hayo. Kuna yeyote anayefahamu kupika vyema hiki chakula aweke ufundi wake hapa.? Nahitaji niduplicate hiki kitu weekend hii.
Cc: farkhina, king'asti n.k