Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Nzuri tu hahahah collection itabidi nifungue twishen mje na madaftar yenu lol....
Nimekuwa mvivu wa mapishi sijui kwanini? Au pengine kwa kuwa my ameanza kula ndimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzuri tu hahahah collection itabidi nifungue twishen mje na madaftar yenu lol....
Nimekuwa mvivu wa mapishi sijui kwanini? Au pengine kwa kuwa my ameanza kula ndimu?
Huyo anaeanza kula ndimu kama yupo prego u hv to cook for her misosi ya maana.....health pregnant healthy baby
Kama ni kweli wewe ni mkulima basi tembelea hapa bonyeza hapa.[h=1]Topic: Kwa wale wanaotaka Mbolea ya kuwauwa wadudu waharabifu na kuzalisha mazao kwa wingi[/h]Tutalala tukifa. Hapa kazi ni kazi, kilimo kwanza kinazingatiwa. Kama wewe unalala kaka, imekula kwako. Halafu unajua mashuti ndio mwanzo wa maongezi? Unajua vicheko vinaishia wapi? Ngoja tupike tutaunguza mchuzi
Shida nami nina kichefuchefu cha kufa mtu
Hahahahah sio mgovi mimi bibie.@King'asti ni mdogo wangu ninamuambia ukweli simchokozi yeye anajuwa hivyo.Mkwe mgomvi wewe
Hahahahah sio mgovi mimi bibie.@King'asti ni mdogo wangu ninamuambia ukweli simchokozi yeye anajuwa hivyo.
Hahahaha lol ni wewe mmoja wapo nini
Ebwana wee unamsaidia? Safi sana baba kijacho
Hongera sana.....mkitamani ubuyu Angel Nylon atawaletea ubuyu wa babu issa lol
Ugomvi huo farkhina...!!! Yeye mwenyewe hapendi ubuyu kabisa sasa hivi
Kama ni kweli wewe ni mkulima basi tembelea hapa bonyeza hapa.Topic: Kwa wale wanaotaka Mbolea ya kuwauwa wadudu waharabifu na kuzalisha mazao kwa wingi
Hahahaha lol ni wewe mmoja wapo nini
Anakunyanyuwa mguu wako wakati wewe upo kwenye Neti khaa halali huyo shemaji yetu usiku huu?
morning glory kwangu ni full three course meal. lol
Mie siwezi kuuachia mbele za watu bwana. Nyaenda toilet lol. Ila nina rafiki ananyanyua mguu kabisa, akesha anashusha pumzi na kusema excuse me