mambo super jaan...nna utumbo wangu tangu eid nautaftia siku tu...t ena ndizi kidooogo utumbo ndo uwe mwingi na achar ya ndimu ....doh mmmmm
Si upike ndio maana ya kuweka recipe ati lol
Haahaa sijui ka kitakuwa kitamu ka hicho lol
Karibu my dear umeadimika sana
Nipo mdogo mdogo
Mambo yamekua mengi my dia
Ila tu usinisahau huku jikoni
Usijali sitakusahau
bak unapenda pilipili wewe, mi now nimekatazwa kula, naimisijeeee....pilipili mbuzi pembeni, muhimu sana hiyo.
bak unapenda pilipili wewe, mi now nimekatazwa kula, naimisijeeee....
bak unapenda pilipili wewe, mi now nimekatazwa kula, naimisijeeee....
Ndio tabu ya kupita " mtaa huu" unabakia kutoka midenda kama teja! haya ngoja nimforwadie mamie watoto mlezi wa moyo wangu afanye mazuri jkoni leo!Umeona eeeh.....hii kitu tamu sana
Ndio tabu ya kupita " mtaa huu" unabakia kutoka midenda kama teja! haya ngoja nimforwadie mamie watoto mlezi wa moyo wangu afanye mazuri jkoni leo!