Mapishi ya Ndizi Utumbo

Mapishi ya Ndizi Utumbo

mambo super jaan...nna utumbo wangu tangu eid nautaftia siku tu...t ena ndizi kidooogo utumbo ndo uwe mwingi na achar ya ndimu ....doh mmmmm
 
DADA farkhina nitapata wapi hii chakula??seems delicious kwakweli
 
Last edited by a moderator:
Pole zako, mie chakula bila pilipili hata kiwe kitamu vipi naona kinakosa kiungo muhimu sana. Nashukuru Mungu hadi leo hii hazijaniletea matatizo ya aina yoyote. Umepotea sana weye!!! Ni aje bhanaaa!?

bak unapenda pilipili wewe, mi now nimekatazwa kula, naimisijeeee....
 
Back
Top Bottom