kuwa na panaldol karibu ili maumivu ya kichwa yakizidi ya kufikiri kilichowezekana unyweMagu anaimaliza CCM bila kujua.
kuwa na panaldol karibu ili maumivu ya kichwa yakizidi ya kufikiri kilichowezekana unywe
kuwa na panaldol karibu ili maumivu ya kichwa yakizidi ya kufikiri kilichowezekana unywe
Maandamano na mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku!Imearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.
Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.
Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.
na nani?Maandamano na mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku!
Na serikali!na nani?
Magu anaimaliza CCM bila kujua.
Serikali ipi na sheria ipi?Na serikali!
Mngekuwa na akili,mngejiuliza ni kwanini kila uchaguzi kura za wagombea uraisi wa CCM zinashuka sambamba na idadi ya wabunge wa CCM huku upinzani ukijiongezea kura za wagombea wake wa uraisi na kuongeza idadi ya wabunge wake.Maandamano na mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku!
Mwambie pia asisahau kukanyaga migongo ya kina mama kama alivyofanya Nepi kule Lindi jimboni kwake. Sisi Hapa Kazi Tu.Imearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.
Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.
Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.
Kura zipi mkuu? Mbona kila uchaguzi Chadema wanaingia gizani?Mngekuwa na akili,mngejiuliza ni kwanini kila uchaguzi kura za wagombea uraisi wa CCM zinashuka sambamba na idadi ya wabunge wa CCM huku upinzani ukijiongezea kura za wagombea wake wa uraisi na kuongeza idadi ya wabunge wake.
Kwa sasa chama chenu kina-survive kwa msaada wa dola tu na kimeshapoteza political legitimacy kwa kiwango kikubwa kuliko mlima Kilimanjaro.
Endelee na kiburi chenu na ulevi wenu wa madaraka na ndio maana awamu hii imekuwa ni mateso karibu kwa kila kundi katika jamii kuanzia watumishi wa umma,wafanyabiashara,wavuvi,wanasiasa mpaka na wawekezaji kutoka nje ya nchi!!
Hahaahahaa...Imearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.
Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.
Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.