Mngekuwa na akili,mngejiuliza ni kwanini kila uchaguzi kura za wagombea uraisi wa CCM zinashuka sambamba na idadi ya wabunge wa CCM huku upinzani ukijiongezea kura za wagombea wake wa uraisi na kuongeza idadi ya wabunge wake.
Kwa sasa chama chenu kina-survive kwa msaada wa dola tu kwani kimeshapoteza political legitimacy kwa kiwango kikubwa kuliko Mlima Kilimanjaro!!
Endelee na kiburi chenu na ulevi wenu wa madaraka na ndio maana awamu hii imekuwa ni mateso karibu kwa kila kundi katika jamii kuanzia watumishi wa umma,wafanyabiashara,wavuvi,wanasiasa mpaka na wawekezaji kutoka nje ya nchi!!
Tegemeni majeshi yalinde masilahi ya CCM kama alivyosema mwenyekiti wenu tena hadharani!!!