Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo. January yupo Bumbuli. Angalia location kwenye post hii yake ya leo.Imearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.
Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.
Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.
Ndio ufurahi sasa maana kufa kwa CCM si ndio kuimarika kwa CHADEMAMagu anaimaliza CCM bila kujua.
Mimi najua anaishi na wapiga kura wake/watu anaowawakilisha, mapokezi ya wapi tena jamani?Imearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.
Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.
Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.
Mikusanyiko isiyo halalai hairushusiwi policcm fanyeni kazi ipasavyo hapa.Imearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.
Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.
Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.
Low profile amekeep Madelu kapata nini mpaka sasa zaidi ya stress tuInatakiwa a keep low profile for his own good na hasa kama anatamani kurudi katika vitabu vizuri vya JPM !
Kwa vipi? Hata jakaya aliambiwa hivyo hivyo oh ccm itamfia mkononi, mbona ipo , asimguse mtu oh oh , magufuli chapa kazi inayokufa ni chadema .Magu anaimaliza CCM bila kujua.
Swali maridhawa.Na akishapokelewa kwa kishindo alafu ndio inakuwa nini?
Maandamano na mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku!
Ipelekwe JKT,gonga sana hawaSiro andaaa kikosi cha kusambaratisha hill genge...Huyo ikiwezekana afukuzwe hata ccm tu.
Huyo Salary Slip ni mnafiki nambari wani.Tz watu wanafik sana
S mlkuwa hamuwez hata kuvaa mikijan na njano kariakoo nyinyi
Jamaa kaja mmerudisha heshima mtaan,keshakuwa mbaya tyr
Lichama lenyewe lilitaka kufa kwa jk.
AtazuiwaImearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.
Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.
Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.
Pigs vigelegele basiMagu anaimaliza CCM bila kujua.
pumbav wewe kwa sheria gani? wewe huna tofauti na wajinga wenzio wanaosema raisi hata mwenye matatizo ya akili akisema ni sheria! kama akisemacho ni sheria bila kuangalia afya ya akili yake hizi sheria ni za nn sasa?Maandamano na mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku!
astaghafir yamekua haya leo?Uwongo hakuna wa kumpokea kwani hata ubunge wenyewe haukuwa halali,hajapigiwa kura na watu wa Bumbuli na isitoshe hata nyumba hana. Wanaomuunga mkono ni wahuni wachache aliogawana nao hayo mabilioni ya NSSF.
kwani magufuli alichaguliwa kihalali? yule wa zanzibar alivhaguliwa kihalli? nyumba ni sifa ya mtu kuwa mbunge? wabunge wangapi hawakai kwenye majimbo yao?Uwongo hakuna wa kumpokea kwani hata ubunge wenyewe haukuwa halali,hajapigiwa kura na watu wa Bumbuli na isitoshe hata nyumba hana. Wanaomuunga mkono ni wahuni wachache aliogawana nao hayo mabilioni ya NSSF.
lazima figisu zitakuwepo hapoImearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.
Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.
Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.