Tetesi: Mapokezi makubwa yamsubiri January Makamba jimboni mwake Bumbuli

Tetesi: Mapokezi makubwa yamsubiri January Makamba jimboni mwake Bumbuli

Imearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.

Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.

Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.
Acha uongo. January yupo Bumbuli. Angalia location kwenye post hii yake ya leo.

Shame on you!
tapatalk_1563813870472.jpeg
 
Mleta mada sijui kama ni mkweli ... Bumbuli ipi? Mbona watu wanalalamika kuwa haonekani jimboni? mbona watu wanalalamikia barabara? kiwanda cha chai mponde? mmmhh ngoja nnyamaze mie ...
 
Imearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.

Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.

Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.
Mimi najua anaishi na wapiga kura wake/watu anaowawakilisha, mapokezi ya wapi tena jamani?
 
Imearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.

Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.

Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.
Mikusanyiko isiyo halalai hairushusiwi policcm fanyeni kazi ipasavyo hapa.
 
Tena wapelekwe vijana wa JKT. Gonga sana hawa watakaoandamana. Maana hawana kazi hawa. Kumpokea kwa kipi? Hii nchi bwana
 
Imearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.

Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.

Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.
Atazuiwa
 
Uwongo hakuna wa kumpokea kwani hata ubunge wenyewe haukuwa halali,hajapigiwa kura na watu wa Bumbuli na isitoshe hata nyumba hana. Wanaomuunga mkono ni wahuni wachache aliogawana nao hayo mabilioni ya NSSF.
 
Maandamano na mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku!
pumbav wewe kwa sheria gani? wewe huna tofauti na wajinga wenzio wanaosema raisi hata mwenye matatizo ya akili akisema ni sheria! kama akisemacho ni sheria bila kuangalia afya ya akili yake hizi sheria ni za nn sasa?
 
Uwongo hakuna wa kumpokea kwani hata ubunge wenyewe haukuwa halali,hajapigiwa kura na watu wa Bumbuli na isitoshe hata nyumba hana. Wanaomuunga mkono ni wahuni wachache aliogawana nao hayo mabilioni ya NSSF.
kwani magufuli alichaguliwa kihalali? yule wa zanzibar alivhaguliwa kihalli? nyumba ni sifa ya mtu kuwa mbunge? wabunge wangapi hawakai kwenye majimbo yao?
 
Imearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.

Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.

Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.
lazima figisu zitakuwepo hapo
 
Back
Top Bottom