Mapokezi ni babkubwa Mama yetu Mkuu wa Nchi na Kamanda Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania nzima Mama Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Rasmi atatua Visiwa vya Karafuu kule Pemba kwa ajili kilele cha Matembezi ya Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
Karibu Mama Jemedari Mkuu, Umethubutu, Unaweza, Umeweza hakuna kama Mama, Tunakupenda sana
Karibu Mama Jemedari Mkuu, Umethubutu, Unaweza, Umeweza hakuna kama Mama, Tunakupenda sana