Mapokezi ni Babkubwa Rais Samia Visiwa vya Karafuu Pemba Januari 7, 2022

Awapi hakuna kitu kama hicho mbona hakuna EFD machine Zanzibar? ni uongo tupu
πŸ˜†πŸ˜†EFD machine ni kwa wasiokuwa tayari kulipa kwa hiari tu. Zanzibar wachamungu wale wanalipa kodi kwa hiari tu bwashehe.
 
Huu muungano hushakuwa kero kwetu Tanganyika tena vibaya sanaaa.
 
Kwa hiyo hiyo ni sherehe ya CCM? Mapinduzi siyo tena sherehe ya serikali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…