#COVID19 Mapokezi ya chanjo ya Covid-19 yapo hasi sana kwa Watanzania

#COVID19 Mapokezi ya chanjo ya Covid-19 yapo hasi sana kwa Watanzania

SOPINTO

Senior Member
Joined
Oct 19, 2020
Posts
155
Reaction score
387
Ukiacha Gwajima kuchafua hali ya hewa kuhusiana na chanjo ya Corona lakini tayari watanzania walishaaminishwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati Magufuli kuwa chanjo ya Corona sio salama kabisa na hivi huku hayati akisema kuwa chanjo ya Korona inayopigiwa debe na mabeberu kama alivyokuwa anasema hayati JPM inalengo la kumaliza vizazi vya afrika.

Sasa kila mahali ukipita si taasisi za dini, watumishi wa umma na wananchi kwa ujumla wanapinga sana juu ya kupata chanjo ya korona, ukifanya utafiti mdogo tu utagundua kuwa asilimia kubwa ya watu ambao hawataki kabisa kusikia kuhusiana na chanjo ni watoto na raia ambao hawana exposure tofauti na ile walioaminishwa na mwendazake JPM.

Rais Samia hata kama ukichanja mbele ya vyombo vya habari tarehe hiyo 28/7/2021 kwa lengo la kuonesha umuhimu wa chanjo ya korona lakini bado mentality ya wananchi wako ipo negative sana.
 
Huu ndo ukweli hata ukifanya utafiti uliza watu 10 je wapo tayari kuchanjwa utashangaa ni watu 2 au 1 ndo yupo tayari nadhani Tiss wamwambie ukweli huyu mama kuwa rabda afanye lazima lakini kama si hvyo watachanja kina kigwangala na kina Makamba jr tu hawa inawezekana hawajachanja wanatuzuga tu najiuliza kitu kwa nini Zanzibari wachanjwe Cinovac ya China huku Bara tupigwe ya JJ ?? 🤔🤔🤔🤔🤔
 
Yaa kweli hii ni alama ya mpinga kristo, chanjo sio salama kabisa
Ufunuo wa Yohana 13:16
Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;

Ufunuo wa Yohana 13:17
tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.

Ufunuo wa Yohana 13:18
Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.
 
Huu ndo ukweli hata ukifanya utafiti uliza watu 10 je wapo tayari kuchanjwa utashangaa ni watu 2 au 1 ndo yupo tayari nadhani Tiss wamwambie ukweli huyu mama kuwa rabda afanye lazima lakini kama si hvyo watachanja kina kigwangala na kina Makamba jr tu
Ufunuo wa Yohana 13:16
Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;

Ufunuo wa Yohana 13:17
tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.

Ufunuo wa Yohana 13:18
Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.
 
Hakuna haja ya kuwalazimisha,
Ufunuo wa Yohana 13:16
Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;

Ufunuo wa Yohana 13:17
Tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.

Ufunuo wa Yohana 13:18
Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.
 
Ufunuo wa Yohana 13:16
Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao...
Haya maandiko yanawadumaza sana akili, yule baba yenu wa maandiko mwenyewe alishasepa, wewe bado upo upo tu.
 
Hii ndiyo kazi kubwa ambayo ilifanywa na awamu ya tano!Unapokuwa na Rais mataputapu ni mzigo kwa Taifa na dunia kwa ujumla.

2855845_BCEs.jpg
 
Ufunuo wa Yohana 13:16
Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao...
Mkuu Una uhakika na unachoandika , kuwa makini na unachoropoka boss , kuwa makini na hcho kitabu , unatakiwa utilize kichwa
 
Yaa kweli hii ni alama ya mpinga kristo, chanjo sio salama kabisa
Ufunuo wa Yohana 13:16
Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao...
Yqni acha tu,biblia nitabaki kuiheshimu...yariyotabiriwa yanatokea kweli
 
Ukiacha Gwajima kuchafua hali ya hewa kuhusiana na chanjo ya Korona lakini tayari watanzania walishaaminishwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati JPM kuwa chanjo ya korona sio salama kabisa na hivi huku hayati akisema kuwa chanjo ya Korona inayopigiwa debe na mabeberu kama alivyokuwa anasema hayati JPM inalengo la kumaliza vizazi vya afrika...
Upo sahihi sana...ukweli utabaki hii Covid bado ina wingu zito sana.

Hii kuanzia chanzo chake n a sasa chanjo.

Personally sichanji.
 
Uzuri chanjo ni hiari , Ila Kwa ujumla moja ya kitu alichofanikiwa Maghufuli ni kuwaaminisha watanzania kuwa chanjo ni miyeyusho , hii mentality imewakaa wanachi kisawa Sawa , na ni ngumu kuwaaminisha vinginevyo , wanaochanja ni wale wanaosafiri nje maana ni lazima uwe umechanjwa ...!!! Hata hvyo hyo chanjo ni miyeyusho
 
Watanzania viumbe wagumu sana, kuvaa barakoa hawataki, chanjo hawataki, na hizo nyungu nazo hawana habari nazo, wacha Corona itufanye inavyotaka, ikiamua kuondoka itaondoka yenyewe kwa kuogopa ubishi wetu.
Kwasababu walishapata mixed massages kutoka mwanzo, hawaelewi washike lipi.
 
Ukisema walishaaminishwa,,,maana yake unawachukulia wote wajinga and they can't comprehend stuff for themselves
 
Ukiacha Gwajima kuchafua hali ya hewa kuhusiana na chanjo ya Korona lakini tayari watanzania walishaaminishwa na Rais wa awamu ya tano Hayati JPM kuwa chanjo ya korona sio salama kabisa na hivi huku hayati akisema kuwa chanjo ya Korona inayopigiwa debe na mabeberu kama alivyokuwa anasema hayati JPM inalengo la kumaliza vizazi vya afrika...

Upo sahihi sana...ukweli utabaki hii Covid bado ina wingu zito sana...
Hii kuanzia chanzo chake n a sasa chanjo....
Personally sichanji.
Woga wa kitu chochote kipya ni kawaida kwa binadamu. Siku zote wanaofanikiwa ni wale ambao wapo tayari kuchukua hatua. Ngoja uviko ukufikie kwenye familia yako - hapo utaanza kutafuta kinga.

Wanaokufa kwa kuugua Uviko 19, ni asilimia 2 tu ya wananchi wote, hii inaonekana ni ndogo, je wewe upo tayari familia yako iwepo kwenye hiyo takwimu.

Dunia imeendelea kwa kutumia sayansi na teknologia, siyo kwa kutumia mawazo/ maono/ au imani za watu binafsi. WaSaudi na WaIsraeli wote wamechanja, je waTz tunangoja nini?
 
Back
Top Bottom