#COVID19 Mapokezi ya chanjo ya Covid-19 yapo hasi sana kwa Watanzania

#COVID19 Mapokezi ya chanjo ya Covid-19 yapo hasi sana kwa Watanzania

Tulizoea mzigo unaotoka nje na kupokelewa na rais kwa bashasha ni madreamliner na mairbus. Tuliyonunua kwa pesa zetu wenyewe.

Siku zinaenda kasi sana asee! Sasa naona kuna photo-op inayohusisha viongozi wakuu wa kitaifa kupokea na kuipa promo chanjo ya msaada. Chanjo yenyewe isiyokuwa na uwezo wa kuwalinda watakaoibugia dhidi ya kirusi wao wanaita delta variant. J.&J. Vaccine May Be Less Effective Against Delta, Study Suggests

Omba Mungu akunyime vyote ila akupe utajiri wa roho na akili ya kupambanua.
 
Mama Samia naye anachoma kesho, wasiwasi wangu isije ikawa anachoma tu panadol atuaminishe kuwa kachoma chanjo sie wengine tuingie kichwa kichwa tuwe mahanithi ni mtazamo wangu tu wa kipemba yakheeee
 
Ni muda tu utaongea,kila manzanita atajua umuhimu wa chanjo. Haya mabishano ni mwanzo tu Kabla zoezi halijaanza rasmi. Wagonjwa wa Aina yeyote watakaolazwa hospital wataomba wenyewe wachomwe chanjo hata kama hawana Corona.

Umewahi kuona mgonjwa akitafuta tiba bila mafanikio na kujikuta ametumia kila aina ya dawa. Unapokataa chanjo je una uhakika wa kutopata ugonjwa wowote maishani.kwani wanaogua ni viumbe tofauti na wengine,
Mnataka kuachia kirusi kingine nn?
 
Juzikati niliangalia taarifa ya habari TBC (Kwa bahati mbaya), alialikwa mama mmoja mtaalam wa maswala ya chanjo. Alichokiongea mle kilinisikitisha sana.
 
Hii sio bongo tu, na wala msimlaumu magufuli, hadi wazungu wasomi wanaikataa na wanaandamana kuipinga.
Sasa kama ww unataka, nenda tu kafanye mwenyewe
Ndio maana mie nauliza humu haya mawazo ya kufikiri kuwa wasiotaka chanjo ni wale wasio na uelewa wamepata wapi? kuna madaktari huko kwa wenzetu wanapinga hizi chanjo ila huku bongo ukipinga chanjo unaonekana umepumbazwa na Magufuli.
 
Mwendazake ameharibu akili za wengi hasa kwa kuzuia hoja kinzani.
 
Ndio maana mie nauliza humu haya mawazo ya kufikiri kuwa wasiotaka chanjo ni wale wasio na uelewa wamepata wapi? kuna madaktari huko kwa wenzetu wanapinga hizi chanjo ila huku bongo ukipinga chanjo unaonekana umepumbazwa na Magufuli.
They are called the CoronaBros ...They shill so hard for the vaccine....
 
“Mamilionea wanakimbilia kuchanjwa halafu wewe mwenye balance ya zero kwenye akaunti yako umekomaa eti wanataka kukuua LOL, wakuue juu ya nini sasa? “ From Unknown. 😀😀😀🙌🏾🙌🏾🙌🏾. This made my day...🙌🏾🙌🏾
 
Mzee we kachanje mwenye highest level of intelligence, but the available evidences speaks volume, the vaccines are not safe. Watu sio wajinga kivile, magufuli hakuwa mjinga, gwajima sio mjinga, wanaokataa chanjo vile vile sio wajinga, ila una hiari kachanje wewe na familia yako ili msituambukize. Am out.
Unaweza kuweka hapa hizo unazoita "evidence speaks, the vaccines are not safe"?!

Btw, not safe in which grounds?! Kama ni side effect, suala la side effect ni jipya kwenye medical world?!

Unahoji ikiwa akina Gwajima na Magu wao ni wajinga; the answer is YES, na bora wangebaki na ujinga wao lakini wanawalisha watu huo ujinga!!

UK imechanja over 55% ya watu wake!! Unataka kusema UK Government ni wajinga kutoa chanjo isiyo salama kwa zaidi ya nusu ya watu wake?

Kwa USA, zaidi ya watu 160M wamechanjwa....
Chanjo USA.png


Je, unataka kusema US Government ni wapumbavu hata itoe chanjo isiyo salama kwa wananchi wake?

Ukiangalia na baadhi ya nchi zingine, mamilioni nako wamechanjwa...

Data World.png


Je, unataka kusema hayo mataifa ni wajinga?!

Huyo Gwajima ana maabara iliyochunguza hizo chanjo na kutoa majibu kwamba sio safe?!

Huyo JPM ni yupi kama sio yule yule ambae alifikia hata hatua ya kupiga marufuku kutolewa takwimu za COVID-19

Kama ilivyokuwa kwa JPM, Rais wa Brazil alikuwa ni miongoni mwa viongozi waliokuwa wanawalisha ujinga wananchi wao, na Wabrazili walipukutika kweli kweli!

Wakati wameshakufa sana, leo hii Wabrazil wameshtuka kwa kumuona President Jair Bolsonaro anakusudia kuendesha mauaji ya kimbali dhidi ya wananchi wake kupitia corona manake

 
Huu ndo ukweli hata ukifanya utafiti uliza watu 10 je wapo tayari kuchanjwa utashangaa ni watu 2 au 1 ndo yupo tayari nadhani Tiss wamwambie ukweli huyu mama kuwa rabda afanye lazima lakini kama si hvyo watachanja kina kigwangala na kina Makamba jr tu hawa inawezekana hawajachanja wanatuzuga tu najiuliza kitu kwa nini Zanzibari wachanjwe Cinovac ya China huku Bara tupigwe ya JJ ?? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Zote zimepitishwa na WHO haijarishi ipi inatumika wapi,wenzetu wanatumia chanjo aina tatu mpaka nne nchi moja.Hakuna la ajabu hapo.
 
siyo tu hasi. hatutaki ujinga. wanasiasa wa nchi hii ifike mahali waheshimu maoni ya wananchi. ilipaswa wapitishe kura ya maoni kwanza kabla ya kutuletea hii chanjo.

yaani huyu Samia anajikuta ni mama yetu wa kutuzaa anaenda kwa mabeberu kutununulia chanjo? pathetic!
 
Ukiacha Gwajima kuchafua hali ya hewa kuhusiana na chanjo ya Corona lakini tayari watanzania walishaaminishwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati Magufuli kuwa chanjo ya Corona sio salama kabisa na hivi huku hayati akisema kuwa chanjo ya Korona inayopigiwa debe na mabeberu kama alivyokuwa anasema hayati JPM inalengo la kumaliza vizazi vya afrika.

Sasa kila mahali ukipita si taasisi za dini, watumishi wa umma na wananchi kwa ujumla wanapinga sana juu ya kupata chanjo ya korona, ukifanya utafiti mdogo tu utagundua kuwa asilimia kubwa ya watu ambao hawataki kabisa kusikia kuhusiana na chanjo ni watoto na raia ambao hawana exposure tofauti na ile walioaminishwa na mwendazake JPM.

Rais Samia hata kama ukichanja mbele ya vyombo vya habari tarehe hiyo 28/7/2021 kwa lengo la kuonesha umuhimu wa chanjo ya korona lakini bado mentality ya wananchi wako ipo negative sana.

1627374182865.png


exposure inaendeleaje uko mkuu
 
Unaweza kuweka hapa hizo unazoita "evidence speaks, the vaccines are not safe"?!

Btw, not safe in which grounds?! Kama ni side effect, suala la side effect ni jipya kwenye medical world?!

Unahoji ikiwa akina Gwajima na Magu wao ni wajinga; the answer is YES, na bora wangebaki na ujinga wao lakini wanawalisha watu huo ujinga!!

UK imechanja over 55% ya watu wake!! Unataka kusema UK Government ni wajinga kutoa chanjo isiyo salama kwa zaidi ya nusu ya watu wake?

Kwa USA, zaidi ya watu 160M wamechanjwa....
View attachment 1869894

Je, unataka kusema US Government ni wapumbavu hata itoe chanjo isiyo salama kwa wananchi wake?

Ukiangalia na baadhi ya nchi zingine, mamilioni nako wamechanjwa...

View attachment 1869902

Je, unataka kusema hayo mataifa ni wajinga?!

Huyo Gwajima ana maabara iliyochunguza hizo chanjo na kutoa majibu kwamba sio safe?!

Huyo JPM ni yupi kama sio yule yule ambae alifikia hata hatua ya kupiga marufuku kutolewa takwimu za COVID-19

Kama ilivyokuwa kwa JPM, Rais wa Brazil alikuwa ni miongoni mwa viongozi waliokuwa wanawalisha ujinga wananchi wao, na Wabrazili walipukutika kweli kweli!

Wakati wameshakufa sana, leo hii Wabrazil wameshtuka kwa kumuona President Jair Bolsonaro anakusudia kuendesha mauaji ya kimbali dhidi ya wananchi wake kupitia corona manake


Mi sina muda wa kujaza ma evidence hapa, mi si mjinga, najua chanjo hiyo ina matatizo makubwa virologist kibao with impeccable credentials wameongea against covid vaccination. Again, me and my friends and family hatutachanjwa, kachanjwe wewe.
 
“Mamilionea wanakimbilia kuchanjwa halafu wewe mwenye balance ya zero kwenye akaunti yako umekomaa eti wanataka kukuua LOL, wakuue juu ya nini sasa? “ From Unknown. 😀😀😀🙌🏾🙌🏾🙌🏾. This made my day...🙌🏾🙌🏾
balance yake ipo kama frequency za redio
 
Unaweza kuweka hapa hizo unazoita "evidence speaks, the vaccines are not safe"?!

Btw, not safe in which grounds?! Kama ni side effect, suala la side effect ni jipya kwenye medical world?!

Unahoji ikiwa akina Gwajima na Magu wao ni wajinga; the answer is YES, na bora wangebaki na ujinga wao lakini wanawalisha watu huo ujinga!!

UK imechanja over 55% ya watu wake!! Unataka kusema UK Government ni wajinga kutoa chanjo isiyo salama kwa zaidi ya nusu ya watu wake?

Kwa USA, zaidi ya watu 160M wamechanjwa....
View attachment 1869894

Je, unataka kusema US Government ni wapumbavu hata itoe chanjo isiyo salama kwa wananchi wake?

Ukiangalia na baadhi ya nchi zingine, mamilioni nako wamechanjwa...

View attachment 1869902

Je, unataka kusema hayo mataifa ni wajinga?!

Huyo Gwajima ana maabara iliyochunguza hizo chanjo na kutoa majibu kwamba sio safe?!

Huyo JPM ni yupi kama sio yule yule ambae alifikia hata hatua ya kupiga marufuku kutolewa takwimu za COVID-19

Kama ilivyokuwa kwa JPM, Rais wa Brazil alikuwa ni miongoni mwa viongozi waliokuwa wanawalisha ujinga wananchi wao, na Wabrazili walipukutika kweli kweli!

Wakati wameshakufa sana, leo hii Wabrazil wameshtuka kwa kumuona President Jair Bolsonaro anakusudia kuendesha mauaji ya kimbali dhidi ya wananchi wake kupitia corona manake



1627374520748.png
 
Alisemaje?
Alisema chanjo kama chanjo, mtafiti anapopewa kibali kwa ajili ya kufanyia utafiti chanjo kwanza anaanza na kikundi kidogo si chini ya watu 50 ambapo anafanyia utafiti wake kwa muda usiopungua miaka 2, baada ya hapo anaidhinishwa kufanya utafiti kwa idadi kubwa zaidi ya wwtu, ambapo atafanya utafiti wake kwa muda usiozidi miaka 2 lakini pia unaweza kuwa mwaka na kuendelea, kwa maana hiyo kila hatua ya kundi la watu kuna muda, mpaka chanjo kuja kuthibitishwa inakuwa utafiti umechukua si chini ya miaka 5 hadi 10, hivyo kila stage chanjo inapofanyiwa utafiti kuna uthibitisho wa ufanyaji kazi ndani ya muda wa utafiti.
Ukiangalia kwa makini utagundua tangu Covid ianze na muda chanjo imetoka ni chini ya muda wa utafiti, je utafiti wake umefanyika kwa muda gani.
 
Unaweza kuweka hapa hizo unazoita "evidence speaks, the vaccines are not safe"?!

Btw, not safe in which grounds?! Kama ni side effect, suala la side effect ni jipya kwenye medical world?!

Unahoji ikiwa akina Gwajima na Magu wao ni wajinga; the answer is YES, na bora wangebaki na ujinga wao lakini wanawalisha watu huo ujinga!!

UK imechanja over 55% ya watu wake!! Unataka kusema UK Government ni wajinga kutoa chanjo isiyo salama kwa zaidi ya nusu ya watu wake?

Kwa USA, zaidi ya watu 160M wamechanjwa....
View attachment 1869894

Je, unataka kusema US Government ni wapumbavu hata itoe chanjo isiyo salama kwa wananchi wake?

Ukiangalia na baadhi ya nchi zingine, mamilioni nako wamechanjwa...

View attachment 1869902

Je, unataka kusema hayo mataifa ni wajinga?!

Huyo Gwajima ana maabara iliyochunguza hizo chanjo na kutoa majibu kwamba sio safe?!

Huyo JPM ni yupi kama sio yule yule ambae alifikia hata hatua ya kupiga marufuku kutolewa takwimu za COVID-19

Kama ilivyokuwa kwa JPM, Rais wa Brazil alikuwa ni miongoni mwa viongozi waliokuwa wanawalisha ujinga wananchi wao, na Wabrazili walipukutika kweli kweli!

Wakati wameshakufa sana, leo hii Wabrazil wameshtuka kwa kumuona President Jair Bolsonaro anakusudia kuendesha mauaji ya kimbali dhidi ya wananchi wake kupitia corona manake


 
ni kweli tunashangaa, tulitegemea mapokezi yawe kama yale ya Dreamliner... sijui kwa nini sasa.
 
Back
Top Bottom