Highest level of stupidity....Yaa kweli hii ni alama ya mpinga kristo, chanjo sio salama kabisa
Ufunuo wa Yohana 13:16
Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao...
Kuna watu umeshawaona au kuwasikia baada ya kuchanjwa wamekuwa wapinga kristo? bora uchanje af utulie kama haina ufanisi lakini ulijaribu. Nawaza tu.Ukiacha Gwajima kuchafua hali ya hewa kuhusiana na chanjo ya Korona lakini tayari watanzania walishaaminishwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati JPM kuwa chanjo ya korona sio salama kabisa na hivi huku hayati akisema kuwa chanjo ya Korona inayopigiwa debe na mabeberu kama alivyokuwa anasema hayati JPM inalengo la kumaliza vizazi vya afrika...
Ushahidi ni mwingi mno kuonyesha chanjo ina miyeyushoUzuri chanjo ni hiari , Ila Kwa ujumla moja ya kitu alichofanikiwa Maghufuli ni kuwaaminisha watanzania kuwa chanjo ni miyeyusho , hii mentality imewakaa wanachi kisawa Sawa , na ni ngumu kuwaaminisha vinginevyo , wanaochanja ni wale wanaosafiri nje maana ni lazima uwe umechanjwa ...!!! Hata hvyo hyo chanjo ni miyeyusho
Mzee we kachanje mwenye highest level of intelligence, but the available evidences speaks volume, the vaccines are not safe. Watu sio wajinga kivile, magufuli hakuwa mjinga, gwajima sio mjinga, wanaokataa chanjo vile vile sio wajinga, ila una hiari kachanje wewe na familia yako ili msituambukize. Am out.Highest level of stupidity....
Ndo maana Matapeli kama Askofu Rasheed huwa anawageuza watu aina yenu kuwa Chuma Ulete
Na Magu akawageuza watu aina yenu kuwa Misukule ya Kisiasa...
Sio waliaminishwa ni walielimishwa kutumia njia ya asili kujikinga na corona, hiyo mikemikali mnaita chanjo ndo mnataka kuwaaminisha watu kwamba ni salama lakini hakuna utafiti wowote uliofanyika na wasomi wetu wa bongo,Hawa watu walishaaminishwa kujikinga kwa kujivukiza tangu Covid inaingia. Leo hii bila elimu ya kutosha mnawaambia kuna kinga ya sindano.
Kama ni alama ya mpinga kristo, angalia mkono wako wa kulia karibu na bega uone hiyo alamaYaa kweli hii ni alama ya mpinga kristo, chanjo sio salama kabisa
Ufunuo wa Yohana 13:16
Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao...
Nina maswali ambayo nikikuuliza huna majibu..Woga wa kitu chochote kipya ni kawaida kwa binadamu. Siku zote wanaofanikiwa ni wale ambao wapo tayari kuchukua hatua. Ngoja uviko ukufikie kwenye familia yako - hapo utaanza kutafuta kinga. Wanaokufa kwa kuugua Uviko 19, ni asilimia 2 tu ya wananchi wote, hii inaonekana ni ndogo, je wewe upo tayari familia yako iwepo kwenye hiyo takwimu. Dunia imeendelea kwa kutumia sayansi na teknologia, siyo kwa kutumia mawazo/ maono/ au imani za watu binafsi. WaSaudi na WaIsraeli wote wamechanja, je waTz tunangoja nini?
Exactly.....huyu Gwajima pamoja na uzushi wake kuna kitu anajaribu kutoa angalizo sio mjinga hivyo....Mzee we kachanje mwenye highest level of intelligence, but the available evidences speaks volume, the vaccines are not safe. Watu sio wajinga kivile, magufuli hakuwa mjinga, gwajima sio mjinga, wanaokataa chanjo vile vile sio wajinga, ila una hiari kachanje wewe na familia yako ili msituambukize. Am out.
Hii sio bongo tu, na wala msimlaumu magufuli, hadi wazungu wasomi wanaikataa na wanaandamana kuipinga.Ukiacha Gwajima kuchafua hali ya hewa kuhusiana na chanjo ya Korona lakini tayari watanzania walishaaminishwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati JPM kuwa chanjo ya korona sio salama kabisa na hivi huku hayati akisema kuwa chanjo ya Korona inayopigiwa debe na mabeberu kama alivyokuwa anasema hayati JPM inalengo la kumaliza vizazi vya afrika...
Wenye dini yao wanasemajeUfunuo wa Yohana 13:16
Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao...
%kubwa huku mtaani wanaopinga chanjo ukiwauliza sababu za kupinga kwao kwamba wazungu wanataka kutuua.Hivi kwanini tunafikiri kwamba wanaopinga chanjo ni wale tu ambao hawana uelewa wa kutosha na kudhani kuwa wanaokubali kuchanjwa ndio wenye uelewa?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haya maandiko yanawadumaza sana akili, yule baba yenu wa maandiko mwenyewe alishasepa, wewe bado upo upo tu.
Ni muda tu utaongea,kila manzanita atajua umuhimu wa chanjo. Haya mabishano ni mwanzo tu Kabla zoezi halijaanza rasmi. Wagonjwa wa Aina yeyote watakaolazwa hospital wataomba wenyewe wachomwe chanjo hata kama hawana Corona.Huu ndo ukweli hata ukifanya utafiti uliza watu 10 je wapo tayari kuchanjwa utashangaa ni watu 2 au 1 ndo yupo tayari nadhani Tiss wamwambie ukweli huyu mama kuwa rabda afanye lazima lakini kama si hvyo watachanja kina kigwangala na kina Makamba jr tu hawa inawezekana hawajachanja wanatuzuga tu najiuliza kitu kwa nini Zanzibari wachanjwe Cinovac ya China huku Bara tupigwe ya JJ ?? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Wewe ndo utueleze ukichanjwa hataweza kuambukizwa tena? Je barakoa utaacha kuvaa?je hutaweza kufa na Corona? badala ya kuja na story za mitaani.Ni muda tu utaongea,kila manzanita atajua umuhimu wa chanjo. Haya mabishano ni mwanzo tu Kabla zoezi halijaanza rasmi. Wagonjwa wa Aina yeyote watakaolazwa hospital wataomba wenyewe wachomwe chanjo hata kama hawana Corona.
Umewahi kuona mgonjwa akitafuta tiba bila mafanikio na kujikuta ametumia kila aina ya dawa. Unapokataa chanjo je una uhakika wa kutopata ugonjwa wowote maishani.kwani wanaogua ni viumbe tofauti na wengine,
Ufunuo wa Yohana 13:16
Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
Ufunuo wa Yohana 13:17
Tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
Ufunuo wa Yohana 13:18
Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.
Tatizo kiujumla imefanywa kuwa kupinga chanjo ni ukosefu wa uelewa kitu ambacho si sahihi, kila anayepinga chanjo inaonekana kapotoshwa na Magufuli.%kubwa huku mtaani wanaopinga chanjo ukiwauliza sababu za kupinga kwao kwamba wazungu wanataka kutuua.
Nafikili hiyo ndio sababu nazani