Pigo zako kama Ke vile, ila akili inaniambia ni Me.Toka kule.. Ety nikae niisupportMikia.. Nyooooooh ukajinyee kabisa.. Young ni wananchi na kombe nilakwetu this year
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pigo zako kama Ke vile, ila akili inaniambia ni Me.Toka kule.. Ety nikae niisupportMikia.. Nyooooooh ukajinyee kabisa.. Young ni wananchi na kombe nilakwetu this year
Walipenda wawapokee, ila wamesutwa na yale madongo ya akina Edo Kumwembe na Shaffih Dauda kuwa kuwapokea wageni ni ushamba na dalili za ukosefu wa ajira'Wananchi' kwenye mapokezi hasa za timu za nje zinapokuja kupambana na 'mnyama' sikuziona.Jambo hili haliwezi kupita hivi hivi bila kupongezwa
Hapa ni pa kuweka mkazo 'KUWAPOKEA WAGENI NI USHAMBA NA DALILI ZA UKOSEFU WA AJIRA' ......!Walipenda wawapokee, ila wamesutwa na yale madongo ya akina Edo Kumwembe na Shaffih Dauda kuwa kuwapokea wageni ni ushamba na dalili za ukosefu wa ajira
Jamaa kajikaza haoni hata noma, mtamaliza ligi bila ya kufungwa ila kombe watabeba simba. Sijui km ishawahi kutokea. Itakuwa historia ya ulimwengu pia
Dah!...noma sana..Washajua kitakacho tokea wazimbabwe watakufa nne bila shikeni maneno yangu...
Bado wanakumbuka aibu waliyoipata kwa Plateau, unadhani wao wajinga waendelee kuabika na mijezi yao. Jana tuu wameopolewa kwenye tope na JamburiNimekuwa shuhuda siku ya leo majira ya alasiri wakati timu ya Platinum kutoka Zimbabwe ikipokelewa uwanja wa ndege JNIA.Ukweli zile mbwembwe na amsha amsha kutoka kwa wenzetu 'Wananchi' kwenye mapokezi hasa za timu za nje zinapokuja kupambana na 'mnyama' sikuziona.Jambo hili haliwezi kupita hivi hivi bila kupongezwa na limeonyesha dalili za wazi kabisa kuwa wananchi sasa wangependa wazimbabwe WAFE pale kwa Mkapa.
Zipo sababu za wazi kabisa kwa wananchi kuonyesha uzalendo. Mojawapo iwapo FC Platinum akitolewa stage hii Simba itaingia hatua ya Makundi na pia iwapo Namungo atapenya automatically Tanzania itarejesha zile nafasi 4 michuano ya CAF ijayo. Maana yake nini? Wananchi hata wasipochukua Ubingwa wa VPL jambo ambalo lina uwezekano mkubwa kutokea bado watajihakikishia nafasi ya kushiriki michuano ya Kimataifa. Kwa hili,Kongole kwao 'Wananchi'.
Aise.Washajua kitakacho tokea wazimbabwe watakufa nne bila shikeni maneno yangu...
Oyaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌..Washajua kitakacho tokea wazimbabwe watakufa nne bila shikeni maneno yangu...
Wakati wa Plateau, 'wananchi' walikuwa "provocked"! Huwezi kutumia maneno yale na bado ukahitaji kuungwa mkono na mtani wako! Utani wetu uwe kwenye mechi za ndani, tukienda nje tuwe wamoja!Dah...nikikumbuka ile amsha amsha siku wale wanigeria Plateau wanapokewa pale JNIA....Hakika waswahili hawakukosea waliposema 'Hasidi Hana Sababu' ..... !
Wakati wa Plateau, 'wananchi' walikuwa "provocked"! Huwezi kutumia maneno yale na bado ukahitaji kuungwa mkono na mtani wako! Utani wetu uwe kwenye mechi za ndani, tukienda nje tuwe wamoja!Dah...nikikumbuka ile amsha amsha siku wale wanigeria Plateau wanapokewa pale JNIA....Hakika waswahili hawakukosea waliposema 'Hasidi Hana Sababu' ..... !
SwadaktaaaaaWashajua kitakacho tokea wazimbabwe watakufa nne bila shikeni maneno yangu...
Naona mkeka ulitikiWashajua kitakacho tokea wazimbabwe watakufa nne bila shikeni maneno yangu...