Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ngosha angalia na kijibando kidogoPicha haifunguki weka tena nyingine
Jaribu na wewe kama hata mama yako atajitokeza kwenye mkutanoyaani mmekosa kazi za kufanya watu 20 ndiyo mapokezi yametikisa kweli? rudini tu mkalime siasa imewashinda
Huma tofauti na shetani.kwanini unachukia watu 20 kimpokea mbowe?yaani mmekosa kazi za kufanya watu 20 ndiyo mapokezi yametikisa kweli? rudini tu mkalime siasa imewashinda
haya mamtu ni matapeliKutikisa! haya ndugu. Kama kutikisa ndo huku...wacha niishie hapo
Hizi nyuzi zetu tunachoangalia ni wangapi wamesoma , bila kujali kama wamechangia au La , sijui kama hili jambo unalifahamuHizi nyuzi zinazohusu Chadema siku hizi zishaanza kukosa wachangiaji. Just imagine uzi una saa nzima afu wachangiaji kumi na moja tu tena wale wale wa siku zote.
Tembea na tumia akili uliyojaliwa na Muumba wako. Acha kuvalishwa kifuu cha nazi mbovu weweyaani mmekosa kazi za kufanya watu 20 ndiyo mapokezi yametikisa kweli? rudini tu mkalime siasa imewashinda
Mnawazubaisha vijana hawafanyi kazi halafu mnesema maisha magumu. Mnawatumia kujijenga huku wao wakidhoofika.Tuliahidi hapa kwamba tutawaletea kila kinachojili kwenye Mkakati mpya wa CHADEMA wa OPERESHENI HAKI Unaoendelea nchini kwa kishindo, na kwa vile Ahadi ni deni basi hatuna budi kuitimiza.
Katika mwendelezo huo huo tunawaletea ziara ya Mwamba Mbowe (ambaye pia ni kiongozi wa kimila wa wamasai ) Musoma Mjini .
Baadhi ya Vijana wameanza kumuita FREEMAN OLE MBOWE kutokana na kupewa Uongozi wa Wamasai huko Arusha .
Jionee Mwenyewe, siongezi chochote
Akili kichwaniMnawazubaisha vijana hawafanyi kazi halafu mnesema maisha magumu. Mnawatumia kujijenga huku wao wakidhoofika.