Pre GE2025 Mapokezi ya Jesca Kishoa kwa wananchi Kata ya Nkalakala akiwa na vazi la kijani na kusindikizwa na nyimbo za CCM

Pre GE2025 Mapokezi ya Jesca Kishoa kwa wananchi Kata ya Nkalakala akiwa na vazi la kijani na kusindikizwa na nyimbo za CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu mama msaliti sana, kipindi hicho mumewe Kafulila alihamia CCM akamind sana mpaka akaacha tumia jina la Kafulila na kuachana naye. Wabebaki kulea watoto.
 
Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Jesca Kishoa amefika katika Kata ya Nkalakala Wilayani Mkalama Mkoani Singida na kufanya mkutano wa hadhara na wananchi pamoja na kusikiliza kero za wananchi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?


Kishoa amewasili katika mkutano huo leo tarehe 16 Februari, 2025 huku akiwa amevalia vazi lenye rangi ya kijani, sambamba na kusindikizwa na nyimbo zinazokiimba Chama cha Mapinduzi CCM

Hawa nyumbu Chadema wanatia kichefuchefu, wànaandaaje mkutano wao hàlafu wanavaa nguo za CCM?
Jesca ni mbunge VM kupitia Chadema na hawezi àndaa mkutano wa Chama bila mabosi wake kuuridhia. Lissu amefeli sana.
 
Ni MKE Wake hadi sasa kwa mujibu wa Biblia
Hata ikitokea Mheshimiwa Kafulila Ameteuliwa kugombea Urais miaka ya huko Mbele .Huyo Jesca Kishoa ndiye atatambulika kuwa mke wake wa ndoa na halali. Na ndiye atakuwa First lady wetu. Hiyo ni kwa mujibu wa Biblia. Ila kibinadamu ndio sifahamu . Labda mnifafanulie vizuri.

Narudisha Maiki Kwako John Mzee wa Juice ya Mianzi..
 
Hata ikitokea Mheshimiwa Kafulila Ameteuliwa kugombea Urais miaka ya huko Mbele .Huyo Jesca Kishoa ndiye atatambulika kuwa mke wake wa ndoa na halali. Na ndiye atakuwa First lady wetu. Hiyo ni kwa mujibu wa Biblia. Ila kibinadamu ndio sifahamu . Labda mnifafanulie vizuri.

Narudisha Maiki Kwako John Mzee wa Juice ya Mianzi..
Ni kweli kabisa David Kafulila aka Tumblr akiwa Rais wa JMT basi Jesca Kishoa ndiye First lady

Imewahi kutokea awamu Fulani huko nyuma akina Bwashee wakaokota Dodo chini ya muarobaini 😄😄😄
 
Back
Top Bottom