Mapokezi ya Katibu Mkuu wa Chadema Mh Mnyika yatikisa Kibamba, awaasa wanahabari kupigania Tume huru ya uchaguzi, Kabendera na Magoti watajwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii hapa video unaweza kuitazama mwenyewe, lakini kwa wasio na bando, Mh Mnyika leo amefika kwa mara ya kwanza kwenye jimbo analoliwakilisha la Kibamba tangu kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu na kupokelewa kwa kishindo na wapiga kura wake ambapo wamempongeza kwa kuaminiwa na kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama.

Katika Hotuba yake fupi lakini iliyojaa madini matupu aliyoitoa mbele ya umati wa wananchi hao amesisitiza kila mmoja wakiwemo wanahabari kuongeza juhudi za kupigania kuundwa kwa Tume huru ya uchaguzi ili kupata viongozi watakaoondoa Ombwe la uongozi.

Your browser is not able to display this video.
 
Mnyika ni kati ya vijana makini wanaojitambua katika nchi hii, kichwa kimejaa madini tupu..ni kweli kuna watu walifikiri mzigo wa kupiga vita udikteta zilikiwa ni za Lissu mwenyewe...sasa nafikiri majibu washayapata !!
 
Kati ya vitu tulivyo vikosa cdm kwa miaka 5 ni katibu mwenye weledi kama mh Mnyika
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaaga kabisa na ubunge!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…