johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Atakuwa lofa zaidi yangu maana shule yenyewe kaungaunga!Kwa hiyo akikosa huo ubunge unajidanganya kuwa atakuwa rofa kama wewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa lofa zaidi yangu maana shule yenyewe kaungaunga!Kwa hiyo akikosa huo ubunge unajidanganya kuwa atakuwa rofa kama wewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kauli ya Kikwete mtaikumbuka mwezi December , ushahidi unaonyesha kwamba mambo ya uongozi huharibika wiki chache sana kuelekea uchaguziLabda urais wa Tff!
Ndiyo pointi zenu hizo nyie wildbeestUnatia aibu kwa faida ya nani ?
Umeona sare za watumishi pale Zanzibar leo kwenye maandamano ya mapinduzi?!Hii kauli ya Kikwete mtaikumbuka mwezi December , ushahidi unaonyesha kwamba mambo ya uongozi huharibika wiki chache sana kuelekea uchaguzi
View attachment 1321047
Hamna lolote hapo mambo na kauli ni zilezile.
Kulialia na kudakia hotuba za viongozi makini wa ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamia ni kweli Mnyika ni kijana makini na mwenye kujitambua. Lakini wewe kama ni mwanachama thabiti wa chadema, ungejua kuwaheshimu viongozi wako, unapomsifia kama ulivyo andika, pia unamponda mashinji kama kiongozi aliyekuwa hakufanya lolote, uongozi ni kupeana kijiti.Kati ya vitu tulivyo vikosa cdm kwa miaka 5 ni katibu mwenye weledi kama mh Mnyika
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu akauliza, je mwamkataa shetani na mambo yake yote? semeni tunamkataa, je mwaikataa ccm na mambo yake yote ......??Hii hapa video unaweza kuitazama mwenyewe, lakini kwa wasio na bando, Mh Mnyika leo amefika kwa mara ya kwanza kwenye jimbo analoliwakilisha la Kibamba tangu kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu na kupokelewa kwa kishindo na wapiga kura wake ambapo wamempongeza kwa kuaminiwa na kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama.
Katika Hotuba yake fupi lakini iliyojaa madini matupu aliyoitoa mbele ya umati wa wananchi hao amesisitiza kila mmoja wakiwemo wanahabari kuongeza juhudi za kupigania kuundwa kwa Tume huru ya uchaguzi ili kupata viongozi watakaoondoa Ombwe la uongozi.
View attachment 1320971
Ungeweka namba yako ya simu sina shaka CCM wangekutafuta ili wakupongeze juu ya mstari huu hapa uliouandika.Chadema kujitoa kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2020 kama walivyojitoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019.
Mwamia ni kweli Mnyika ni kijana makini na mwenye kujitambua. Lakini wewe kama ni mwanachama thabiti wa chadema, ungejua kuwaheshimu viongozi wako, unapomsifia kama ulivyo andika, pia unamponda mashinji kama kiongozi aliyekuwa hakufanya lolote, uongozi ni kupeana kijiti.
Mapenzi yako yawe ya chama na sio mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa lofa zaidi yangu maana shule yenyewe kaungaunga!
Nami namsisitiza Mh. Mnyika ahakikishe anadai Tume Huru ya Uchaguzi hadi inapatikana. Na isipopatikana, akiongoze chama chake cha Chadema kujitoa kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2020 kama walivyojitoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019.
Siku mkimjua mnyika ninani walah mtalia na kusaga meno. Hakuna watu mbumbumbu kama cdm
Sent using Jamii Forums mobile app