Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Stephen Wassira Dodoma

Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Stephen Wassira Dodoma

Hivi huyu Mzee ilikuwaje akubali uteuzi huu??
Hajihurumii umri wake?? Huyu si ndio alikuwa anachapa usingizi na kuota Ndoto Bungeni? na kwenye mikutano??

Kweli CCM wamekwisha,

PINDA, MPANGO, MAKINDA wamekataa Ujinga 😅🤣😅🤣😅🤣🚴😅🚴
nchi inaenda upinzani
 
Iam a great genius of all the time. Tumia akili
Genius hawezi kuongea huo ujinga kama vile amekatwa kichwa,
Huo ugenius wako ndio umekupa assurance kua huyo mzee atakufa kabla yako?
Siongei kwa ushabiki wa kisiasa bali kiubinadamu umeandika ujinga,
Hilo neno Tumia akili ulitakiwa ujiambie wewe mwenyewe.
 
Huyo mzee wasira mbona life time yake imesha kwisha bado muda mfupi tu mzoga unafukiwa
Life span inaendana na nidhamu ya maisha ukiwepo mwili wako.
Wewe waweza kuwa mzoga,mtu baki maamuma,kiselela upo upo just 30 or 40 years old!
Ndio maanake wajuzi wanasema kwanza jitambue halafu uje kudadavua mambo makubwa.
Shallow mind nalo ni tatizo.
 
Na wote ni wa mkoa wa Mara, lazima kitaumana- kati ya Bunda na Tarime... lakini kwa wazee wa huko huwa wanajua na kuthamini sana kazi za vijana, hivyo wasira sidhani kama atamletea figusu huyu Heche.. maana wazee wa mkoa wa Mara wanathamini sana nguvu kazi za vijana kuliko kitu chochote hata katika mapigano ( wanaita - Amakinani) ni vijana huwa wanafanya hayo mambo. Sasa wasira atulie vijana waoneshe mambo bila kujali kama ni ccm, CDM au Chauma
 
Mungu huwa akitaka kukiondoa kitu kwenye ramani watu wanaokiongoza hicho kitu au taasisi huwa anawanyima uelewa. Hivi kweli unamteua Wasira kuwa makamu wa mwenyekiti ambaye naye ni dhaifu kupindukia unakuwa unategemea nini.

Chadema mwaka wenu huu jipangeni tu vizuri naamini mna kibali kwa sasa si ajabu hata system itakuwa upande wenu.

Maza anaiuza Tanganyika kama haina mwenyewe nadhani hata kwenye system wameshamchoka maana hawawezi kuwa wote ni wapiga deal lazima kuna wenye uchungu na nchi ambao hawaridhiki na haya yanayoendelea. Chadema ni muda wa kujipanga sana kwenye kuweka wagombea hasa wa urais na wabunge na hata madiwani huenda mkaiongoza nchi. Shirikisheni hata wanausalama ambao ni wazalendo kwa nchi ili mpate candidates watakaolipeleke taifa hatua nyingine mbele.
 
Back
Top Bottom