Lissu asipoua mtu mwaka huu basi hafi tena. Kuna mmoja kashasepa Lema alimuonya hakusikia.Ha ha ha ha ha si wale walioenda kumpa ukweli Bwashee kuwa hawampi kura au ipi tena hyo. Mkuu Tundu kasema ataenda kule kuongea nao ili baada ya oktoba 28 akawakombolee watu wao. Ni mwendo wa Mpela Mpela wala hakuna kutema mate wala kuchimba dawa
Chadema njaa kali Mbowe kapiga hela za kampeni we hushtuki 2015 mlikua hampitishi bakuli kwenye mikutano yenu??Kwahiyo hao wanao wachanganya mpaka pressure zinawapanda wanasafirishwa na mafuso?
Ukiona wana cdm wamejaa sehemu jua wamekuja kwa hiari yao either kwa miguu au kwa baiskeli au kwa magari yao au kwa pikipiki.
Nyie hamfanyi mikutano mpaka muwatumie mafuso na maguta kuwakusanya watu kama mihogo.
Wasanii zaidi ya 200 kuwaimbia wananchi ili wavutike kuja kutazama kina ma free masons
Yaani miccm bwana imetesa sana watu. Sasa itaondoka tu hakuna namna.ufedhuli , kwenda kwa mazoe,na kufanya utafiti za kujifurahisha zisizo reflect hali halisi ili kufurahishana kume waponza.waliwachukulia wananchi poa tu
✌✌✌forever.Chadema njaa kali Mbowe kapiga hela za kampeni we hushtuki 2015 mlikua hampitishi bakuli kwenye mikutano yenu??
Kuhusu wasanii wote tunajua kuwa wasanii wamekataa kufanya kazi na nyinyi matusi, kejeli, masimango ni jadi yenu.
Twende na Magufuli[emoji111][emoji111][emoji111]forever.
Kama wasiposikiliza sauti ya Mungu kupitia Umma. Kabla hawajafika huko kuna mtu atapigwa na stroke kwanzaNimepata maono Magufuli, Siro, Mkuu wa TBC, Mabeyo, Mkuu wa magereza, Mkuu wa TISS mwenyekiti wa NEC ndg Mahera na yule jamaa afisa nini sijui ambaye ni mweusi na sura mbaya kama breki ya jeneza wa tume mwakani kipindi Kama hiki watakuwa The Hague uholanzi kujibu tuhuma za genocide
Endelea kuweweseka wakati wenzako ndiyo wanajiandaa kukabidhiwa nchi na sijui nyinyi waramba miguu mtajificha wapi, labda mtarudi kwenu BurundiChadema njaa kali Mbowe kapiga hela za kampeni we hushtuki 2015 mlikua hampitishi bakuli kwenye mikutano yenu??
Kuhusu wasanii wote tunajua kuwa wasanii wamekataa kufanya kazi na nyinyi matusi, kejeli, masimango ni jadi yenu.
Out of date!Twende na Magufuli View attachment 1571576
Dawa yao ipo jikoni inachemkaYaani miccm bwana imetesa sana watu. Sasa itaondoka tu hakuna namna.
Hahahaa Hivi Siasa Unaijua wewe Wenzenu CCM wanawapiga Kura nyie mnamashabiki Lowassa aliondoka na Asilimia zake 30 kazirudishwa CCM so mwaka huu mkipata 20% mshukuru sana asee Maana CCM itawapiga kichapo cha mbwa koko
Rais mtarajiwa mh LissuTwende na Magufuli View attachment 1571576
Maskini wale wazee wakijichnganya wanazorota wiki ijayo tuTundu Lissu wapeleke mchaka mchaka , wapeleke kikamanda mchaka mchaka
Na wamemwambia ukweli [emoji23][emoji1787]Umeiona nyomi ya Kagera lakini?
Sindano imeingia penyewe tulia dawa iingieMaskini! Lisu hapati zaidi ya 20% ya kura sasa sijui huo ushindi ni wa wapi mnaoungelea
Hahaha comrade huo upupu mmeshindwa hata kuleta picha tu ya kuzomewa maana video imewatoa jasho. Tena chadema mlivyo na kidomodomo ingekuwa ni kweli tungekoma leo video zingesambaa jukwaa zima.Endelea kuweweseka wakati wenzako ndiyo wanajiandaa kukabidhiwa nchi na sijui nyinyi waramba miguu mtajificha wapi, labda mtarudi kwenu Burundi View attachment 1571577
Pakeni hata rangi servant quarter yenu. Hivi mpo serious kweli mnataka nchi?Rais mtarajiwa mh Lissu View attachment 1571579
ccm inawapenda wanachama wake hawataki waangaike, nyie endeleeni kuamini kuwa wanaobebwa wanalazimishawa wakati nyie wenu hawana kadi,watunza kadi wengi ni wamama,wazee na watu waliostarabika hao ambao mnawaona wanajaa kwenye mikutano yenu ni wale wasio na kadi,vibaka,waliokata tamaa za maisha kwa bhangi na utapeli.Acha story katika mambo serious. Hao wapiga kura wa CCM unaowaongelea ni hao wanazururishwa kwenye maroli? Unajiona wewe ndiyo bonge la mgunduzi kwamba hao siyo wapiga kura?
Crimea: Kushindwa na kushinda si dhambi wala si lazima. Na mgombea wenu muelezeni hivyoMaskini! Lisu hapati zaidi ya 20% ya kura sasa sijui huo ushindi ni wa wapi mnaoungelea