Sio polisi wote ni polisi wale wakubwa wakubwa. Hawa wa level ya chini na middle class wanaambulia patupu ni ma amri tuSema majeshi na polis na wakurugenzi kwani hao ndio wanaokula keki ya taifa hili lkn hakuna mtanzania hata mmoja mwenye akili timamu atakae wachagua nyinyi
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app