Pangamalasy
Senior Member
- Jun 5, 2020
- 127
- 110
Huyo anaweza kuwa na ajenda bora zaidi za kiuchumi kulikomgombea yeyote yule,shida yakee ni mamluki sana anadharirisha professional yake kwa kutumika hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani cuf iliwahi kusimamisha mgombe mwenza mwanamke??Kama sio mwaka huu.Mngeandika hapo mwisho maneni Haya: picha kutoka maktaba.
Ukipita Kariakoo tokea lini ukakosa watu, Hata mpumbavu akipita mtaa wa Kariakoo ataonekana ana watu wa kumfuata. Kariakoo wenyewe ni mtaa wa msongamano
Ukipita Kariakoo tokea lini ukakosa watu, Hata mpumbavu akipita mtaa wa Kariakoo ataonekana ana watu wa kumfuata. Kariakoo wenyewe ni mtaa wa msongamano
Hakuna afae akakosa mzishi!
Picha mbili za chini hazina uhusiano nz ya juu mkuu, angalia vizuri.Kwani cuf iliwahi kusimamisha mgombe mwenza mwanamke??Kama sio mwaka huu.
Hapo picha iliyopo wagombea ni lipumba na bi Hamida
Huyu wazazi wake kati ya baba ama babu watakuwa na damu ya Rwanda ama Burundi...hakuna mnyamwezi msanii wa kiwango hiki !!Huyu ndio mnyamwezi
Hivi ni mimi peke yangu sielewi au tupo wengi! Mapokezi ya Lipumba huko Dar na kuchomwa ofisi za Chadema huko Arusha vina uhusiano gani?Kama Mbowe alianguka mwenyewe kwa ulevi wake alafu akatangaza amepigwa na wasiojulikana ili apate kiki ,hata hizo ofisi zimechomwa na Chadema ili wapate kiki vizuri.
Bandiko Na. 4: UUngwana Vitendo anasema "Huyu ndiyo Mnyamwezi". Bandiko Na. 12: Babati anasema "Chama mfu. Mbona haendi kwao Tabora". Bandiko Na. 28: Fuso anasema wazazi wa Lipumba ama ni Wanyarwanda au Warundi. Hivi hizi fikra za ukabila zinatoka wapi? Kwa hiyo Lissu aishie Singida tu; Hamad abakie Zanzibar tu; na Membe awe kwao huko kusini (sijui Mtwara) tu? Haya ni mawazo mfilisi. Tunawaza kutengeneza taifa la Tanzania. Hivyo tusilete mambo yasiyo na maana ya ukabila. Tufikirie mtu anayeweza kuiendeleza nchi yetu. Tusiwe kama jirani zetu Wakenya ambao mtu atakuchagua wewe kama ni wa kabila lake tu.
Lisu damu yake ipo kenyaHuyu wazazi wake kati ya baba ama babu watakuwa na damu ya Rwanda ama Burundi...hakuna mnyamwezi msanii wa kiwango hiki !!
Mzee kwa usanii balaa, yaani ukipiga kura Tanzania basi mzee huyu top 3 hakosi.
Tofauti yake ni niniPicha mbili za chini hazina uhusiano nz ya juu mkuu, angalia vizuri.
What stands at the end kwa mwanasiasa ni msimamamo wako..wafuasi wanataka msimamo....sasa hawa wa TLP, UPD, NCCR na CUF kuna jipya wanalo kaka? Just making numbersBila kuwa msanii huwezibkuwa mwanasiasa .
Ha ha haLisu damu yake ipo kenya
Usifananishe cuf na vyama vingie weweWhat stands at the end kwa mwanasiasa ni msimamamo wako..wafuasi wanataka msimamo....sasa hawa wa TLP, UPD, NCCR na CUF kuna jipya wanalo kaka? Just making numbers
HeheheheHa ha ha