Uchaguzi 2020 Mapokezi ya Prof. Lipumba jijini Dar es Salaam yaweka historia

Uchaguzi 2020 Mapokezi ya Prof. Lipumba jijini Dar es Salaam yaweka historia

Historia ni nyingi sana siku hizi
Hata hii hapa ni historia mkuu
IMG_20200731_061356.jpg
 
Kama Mbowe alianguka mwenyewe kwa ulevi wake alafu akatangaza amepigwa na wasiojulikana ili apate kiki ,hata hizo ofisi zimechomwa na Chadema ili wapate kiki vizuri.
Ha haha, kwa hiyo Mbowe wakati anaanguka mwenyekiti mwenzake alikuwa wapi?
(Picha kutoka maktaba)
tapatalk_1591632262536.jpg
 
Sina hakika tena maandamano au mkusanyiko ni nini tena. Huku Sugu anakamatwa, huku Lipumba na Lissu wanaachwa. Huku watu wanajusanyika kufanya fujo dhidi ya Lissu, huku polisi wanaona hakuna tatizo!!

Tuna safari ndefu sana, kila jambo sasa ni subjective!! Ni kama linapendwa au halipendwi. Sio tena kama ni kuvunja sheria au kutimiza haki!
 
Wagombea watatu toka ACT,CUF na CHADEMA halafu bado mna nguvu ya kumshinda Magufuli?acheni kujipotezea muda wenu
 
Back
Top Bottom