Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Teh Teh hivi wame muandalia mapokezi kwa kuwa amefanya nini cha maana?
Aiseee
wendawazimu kuisha nchi hii ni kazi ngumu mno...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh Teh hivi wame muandalia mapokezi kwa kuwa amefanya nini cha maana?
Aiseee
Teh teh wazee kama hao akirudi nyumbani watoto wakimwambia baba tumekuona kwenye tv, anakuwa mkali, kulalaaaaa alaaaaaa, kuangalia TV tu shule mnafeli
Watu wamekosa kazi...
Watu wamekosa kazi...
Mwanamke akishatoa mimba makusud tu, namuonaga hana maana, takataka kabisa, siez mtetea au kumshabikia kwa chochote!
Poor you.
Daah hii yako siitoi D
Hahahaaaa
...itoe uone ntachokufanya, utajuta!
....can you imagine, km isiyo yang tu namaind, vip ikiwa yangu???
...usijaribu wala kuwaz kabisa dia.
Siwezi kuitoa baby maana nahisi utaninyonga kabisaa
Hivi hii mitoto ya kiume kweli inapoteza muda kwenda kushabikia kitu kama hiki,?? Na huyu petit man hivi huwa anadamu ya kiobama nini!!!
mine kuna kitu unajua nimejifunza..
kuna watu hapa duniani wameumbwa kuja kukatisha wenzao tamaa tu..
yani wako hvyo hawabadiliki na hawatobadilika
roho zao ni visasi na vinyongo they will never appreciate chochote ufanyacho as long as they hate uu
sijui huyu wema ana mabaya gani makubwa kwa waTZ baadhi mpk wamchukie hvyoo..
ila wakumbuke wao ni wazazi wa baadae tena watakua na mabinti au vijana MUNGU atawaonyesha tuuu
natamani nione malezi yao au the way they ar raising their kids..
they pretend to be so perfect...!!
WEMA BE WEMA FANYA WEMA NILIKUA NI MIONGONI MWA WASIOKUKUBALI BUT NOW NAKUKUBALI SANA
naimani hakuna kinachoshindikana duniani...MUNGU yupo nawe haya maneni yetu,sie wasaga sumu fanya km vile ndo silaha ya mapambano yako!!utafika tuu!!
Kujua anakujaje na lini meneja Wa Wema kazi yake nini?
Kama huamini basi. Ila kuna kundi whatsapp la team Wema ni hatari. Kiingilio na michango ya kila mwezi ni nusu ya mshahara wako. Group lina members Wa rika zote, wa Tanzania walioko nchi tofauti n.k. eti washindwe kujichanga milioni ya mapokezi au milion 4 ya kumsapoti kwenye kampeni?? Km hupendwi ni wewe.
Ushabiki maandazi tuu mbona akitoa movie zinamdodea.