Polisi muache kujipitisha kwa kuikumbatia CCM hata mnafika kuvunja sheria ,mkae mkijua kikinuka Miccm haitawasaidia kitu na watakaa mbali sana na nyinyi,mnamuona Sabaya? Mnawaona wale mapolisi ambao miezi michache walitesa watu kule Zanzibar na kuwagaragaza ,waliokuwa wakilindwa (CCM) wote wamesema sheria ifuate mkondo wake maana hawakuwatuma mapolisi kutenda udhalimu.
Basi hivyo ndivyo inavyokuwa ni bora ufukuzwe kazi kwa kutotenda uovu unaotumwa kuwashughulikia wapinzani,CCM wanawakaanga kwa mafuta yenu wenyewe mkiunguwa wanaruka mita mia, wananchi watawaelewa na kuwa pamoja nanyi kwani mmekataa kutenda uovu ili kuwalinda wachache waliopo madarakani.
Tanzania inahitaji mabadiliko na moja ya mabadiliko ni kwa nyinyi mapolisi na vyombo vyote vya ulinzi na usalama kujielewa na kujitathmini na kuwa wa mwanzo kubadilika msingojee mabadiliko kuwakuta ikiwa bado mnatesa raia.
Basi hivyo ndivyo inavyokuwa ni bora ufukuzwe kazi kwa kutotenda uovu unaotumwa kuwashughulikia wapinzani,CCM wanawakaanga kwa mafuta yenu wenyewe mkiunguwa wanaruka mita mia, wananchi watawaelewa na kuwa pamoja nanyi kwani mmekataa kutenda uovu ili kuwalinda wachache waliopo madarakani.
Tanzania inahitaji mabadiliko na moja ya mabadiliko ni kwa nyinyi mapolisi na vyombo vyote vya ulinzi na usalama kujielewa na kujitathmini na kuwa wa mwanzo kubadilika msingojee mabadiliko kuwakuta ikiwa bado mnatesa raia.