Muda mwingine uwe unauliza watu walio karibu na Mr T touch siyo unaongea ongea tu kwa muda mfupi niliokaa na Mr T touch nimegundua ni mtu peace, asiye na makuu,mvumilivu na hayo mnayosema kuwa kamfanyia kiburi Mr Nay ni kwa kuwa katumia busara tu kutosema yote na Mr Nay yeye ndiyo kaongea mengi ili aonekane Mr T ndiyo mkorofi