Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Utendaji gani mbovu wewe Mataga Yatima?Anaongea hivyo kasahau kua walimfukuza kazi kwa utendaji wake mbovu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utendaji gani mbovu wewe Mataga Yatima?Anaongea hivyo kasahau kua walimfukuza kazi kwa utendaji wake mbovu.
Hahahhahaa umepaniki Mataga YatimaHata yeye huyo huyo anayejidai kuwachana wenzake akikabidhiwa wizara ni full madudu tu, kazi ya uCAG hata akipewa kingwendu anaiweza tu, kwenda kusoma madudu bungeni nayo ni kazi? Hakuna jitu la ovyo kama hilo Simbiti Kichere nalo leo linaonekana lichapa kazi.Nilikuwa nashangaa namna Magufuli alivyokuwa analibeba mara TRA, mara RAS mara CAG, hili nalijua vyema tangu likiwa ShyCom ni lijitu la ovyo kweli.Hii nchi unafiki na kujipendekeza ni kwingi
Kwani wakati ule hakuibua hoja akapata vitisho?Huyu mzee ananipa kila sababu ya kuwa na mashaka na elimu yake kwamba haijamsaidia,
Kwa level ya uprofesa sidhani kama utashindwa kujua mtu akiaga dunia hawezi kuongea tena, lakini yeye kamkomalia marehemu anaibua hoja ili azijibu , profesa anashindwa kujua kua marehemu hataweza kumjibu. Profesa wa aina gani huyu.
Mimi sio mnyonge mkuu...nitake radhi.😆😆😆😆 Wanyonge katika ubora wao !
Mkuu mimi sijasema mtu...nasema mfumo wa elimu au mbinu za uwasilishwaj ...je wasomi wetu wameelimika?....great minds discuss issues....mind ya wana janvi wanaojielewa watadiscuss issues na solutions na sio watu na personalities....Jamaa unamsema kabudi japo unazunguka sana
Kazi iendelee.
Mimi sio mnyonge mkuu...nitake radhi.
Huyu mzee ananipa kila sababu ya kuwa na mashaka na elimu yake kwamba haijamsaidia,
Kwa level ya uprofesa sidhani kama utashindwa kujua mtu akiaga dunia hawezi kuongea tena, lakini yeye kamkomalia marehemu anaibua hoja ili azijibu , profesa anashindwa kujua kua marehemu hataweza kumjibu. Profesa wa aina gani huyu.
kumbe uliachia shule darasa la sita alafu unataka kumuelewa profesa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Go east go west Africans are naturally physically and mentally weak.Kwa jina la Jamhuri salaam wana bodi,
Tatizo ni nini wana jamvi?
Kila ninapopata nafasi ya kumfatilia profesa na baadhi ya madaktari wanaofahamika ambao wengi wao wana nyadhifa mbalimbali hasa za kisiasa, nashindwa kuelewa kama ni wasomi au la!
Unapata professa anatoa povu tu na haeleweki hata kwenye jambo ambalo hata mtu alieacha shule darasa la 6 kama mimi analielewa vizuri kabisa, akipewa nafasi ana fanya maamuzi ya hovyo kabisa.
Ni muda mwafaka tujiulize elimu ya juu ina mchango gani kwenye jamii na kwenye taifa kwa ujumla.
Kazi iendelee.
wanyonge wanaambiwa mliibuwa,wanasema haieleweki.😆😆😆😆 Wanyonge katika ubora wao !
Wewe pimbi unaweza kumlinganisha Assad na lile profesa chokoraa lenu lenye macho makubwa kama bundi?Kama prof uchwara Assad, hata kuhimili hasira zake hawezi, kazi kujitutumua tu.
Na ndo wafujaji wa nchi, wenyewe hawatakagi kufikiri nje boks wao walichakaririshwa a ndo hichohicho kisa walisoma hivoKwa jina la Jamhuri salaam wana bodi,
Tatizo ni nini wana jamvi?
Kila ninapopata nafasi ya kumfatilia profesa na baadhi ya madaktari wanaofahamika ambao wengi wao wana nyadhifa mbalimbali hasa za kisiasa, nashindwa kuelewa kama ni wasomi au la!
Unapata professa anatoa povu tu na haeleweki hata kwenye jambo ambalo hata mtu alieacha shule darasa la 6 kama mimi analielewa vizuri kabisa, akipewa nafasi ana fanya maamuzi ya hovyo kabisa.
Ni muda mwafaka tujiulize elimu ya juu ina mchango gani kwenye jamii na kwenye taifa kwa ujumla.
Kazi iendelee.
Umeona Prof Asad kawachana kuw asilimia 60 ya wasomi hawana wanachokijua zaidi ya kusifu na kupiga makofi, Huyu Mzee Mungu amuweka anachana mkeka sana yani, limtu lima ma pHD hata matatu lakini ni la hovyo kuliko polepole, sasa embua ngalia Bashiru huyu eti ndio alikua mwalimu wa Chuo stupide kabisa kama sio stiupidy
Zamani nilikuwa nasikia Proffesor nahisi uelewa wake ni mkubwa kuliko Binadamu wa kawaida Kumbe ni uwezo wa kuelezea Jambo la kiswahili kwa kiingereza kwa kukariri elimu ya kikoloni tuuKwa jina la Jamhuri salaam wana bodi,
Tatizo ni nini wana jamvi?
Kila ninapopata nafasi ya kumfatilia profesa na baadhi ya madaktari wanaofahamika ambao wengi wao wana nyadhifa mbalimbali hasa za kisiasa, nashindwa kuelewa kama ni wasomi au la!
Unapata professa anatoa povu tu na haeleweki hata kwenye jambo ambalo hata mtu alieacha shule darasa la 6 kama mimi analielewa vizuri kabisa, akipewa nafasi ana fanya maamuzi ya hovyo kabisa.
Ni muda mwafaka tujiulize elimu ya juu ina mchango gani kwenye jamii na kwenye taifa kwa ujumla.
Kazi iendelee.
Usinikumbushe Prof. MuhongoKwa jina la Jamhuri salaam wana bodi,
Tatizo ni nini wana jamvi?
Kila ninapopata nafasi ya kumfatilia profesa na baadhi ya madaktari wanaofahamika ambao wengi wao wana nyadhifa mbalimbali hasa za kisiasa, nashindwa kuelewa kama ni wasomi au la!
Unapata professa anatoa povu tu na haeleweki hata kwenye jambo ambalo hata mtu alieacha shule darasa la 6 kama mimi analielewa vizuri kabisa, akipewa nafasi ana fanya maamuzi ya hovyo kabisa.
Ni muda mwafaka tujiulize elimu ya juu ina mchango gani kwenye jamii na kwenye taifa kwa ujumla.
Kazi iendelee.
Siasa zinaongelewa na wasio wasomi kama akina kabudi, lipumba, magufuli, na wale wengine wote wa sisiemu?Msomi hawezi kuwa anaongea siasa, press ya Assad haina tofauti na press ya Chadema.