Maprofessa wetu tatizo ni elimu au vyuo walivyosomea?

Maprofessa wetu tatizo ni elimu au vyuo walivyosomea?

Hata yeye huyo huyo anayejidai kuwachana wenzake akikabidhiwa wizara ni full madudu tu, kazi ya uCAG hata akipewa kingwendu anaiweza tu, kwenda kusoma madudu bungeni nayo ni kazi? Hakuna jitu la ovyo kama hilo Simbiti Kichere nalo leo linaonekana lichapa kazi.Nilikuwa nashangaa namna Magufuli alivyokuwa analibeba mara TRA, mara RAS mara CAG, hili nalijua vyema tangu likiwa ShyCom ni lijitu la ovyo kweli.Hii nchi unafiki na kujipendekeza ni kwingi
Hahahhahaa umepaniki Mataga Yatima
 
Huyu mzee ananipa kila sababu ya kuwa na mashaka na elimu yake kwamba haijamsaidia,

Kwa level ya uprofesa sidhani kama utashindwa kujua mtu akiaga dunia hawezi kuongea tena, lakini yeye kamkomalia marehemu anaibua hoja ili azijibu , profesa anashindwa kujua kua marehemu hataweza kumjibu. Profesa wa aina gani huyu.
Kwani wakati ule hakuibua hoja akapata vitisho?
 
Jamaa unamsema kabudi japo unazunguka sana
Mkuu mimi sijasema mtu...nasema mfumo wa elimu au mbinu za uwasilishwaj ...je wasomi wetu wameelimika?....great minds discuss issues....mind ya wana janvi wanaojielewa watadiscuss issues na solutions na sio watu na personalities....
 
Huyu mzee ananipa kila sababu ya kuwa na mashaka na elimu yake kwamba haijamsaidia,

Kwa level ya uprofesa sidhani kama utashindwa kujua mtu akiaga dunia hawezi kuongea tena, lakini yeye kamkomalia marehemu anaibua hoja ili azijibu , profesa anashindwa kujua kua marehemu hataweza kumjibu. Profesa wa aina gani huyu.

marehemu akifa na ofisi imekufa...

Kipindi kile angeongelea wapi sasa, maana hata ukumbuki lazima kibali unyimwe...na FFU lazima wamwagike....
 
Tatizo ni kuwa level yngu ya uelewa ni ya juu kuliko ya baadhi ya ma profesa na madaktari (wa kusomea)....inashangaza.maana kama hawa tunaowaona wamechaguliwa inamaana ndio wazuri zaidi kwenye sector zao...sasa wabovu sijui walivyo....
kumbe uliachia shule darasa la sita alafu unataka kumuelewa profesa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jina la Jamhuri salaam wana bodi,

Tatizo ni nini wana jamvi?

Kila ninapopata nafasi ya kumfatilia profesa na baadhi ya madaktari wanaofahamika ambao wengi wao wana nyadhifa mbalimbali hasa za kisiasa, nashindwa kuelewa kama ni wasomi au la!

Unapata professa anatoa povu tu na haeleweki hata kwenye jambo ambalo hata mtu alieacha shule darasa la 6 kama mimi analielewa vizuri kabisa, akipewa nafasi ana fanya maamuzi ya hovyo kabisa.

Ni muda mwafaka tujiulize elimu ya juu ina mchango gani kwenye jamii na kwenye taifa kwa ujumla.

Kazi iendelee.
Go east go west Africans are naturally physically and mentally weak.
 
Elimu yao ya kukariri bila kuyaelewa na kumudu mazingira ndomana hawagindui kitu ni kusema tuu flank alisema hivi mwaka flani
 
Kwa jina la Jamhuri salaam wana bodi,

Tatizo ni nini wana jamvi?

Kila ninapopata nafasi ya kumfatilia profesa na baadhi ya madaktari wanaofahamika ambao wengi wao wana nyadhifa mbalimbali hasa za kisiasa, nashindwa kuelewa kama ni wasomi au la!

Unapata professa anatoa povu tu na haeleweki hata kwenye jambo ambalo hata mtu alieacha shule darasa la 6 kama mimi analielewa vizuri kabisa, akipewa nafasi ana fanya maamuzi ya hovyo kabisa.

Ni muda mwafaka tujiulize elimu ya juu ina mchango gani kwenye jamii na kwenye taifa kwa ujumla.

Kazi iendelee.
Na ndo wafujaji wa nchi, wenyewe hawatakagi kufikiri nje boks wao walichakaririshwa a ndo hichohicho kisa walisoma hivo
 
Umeona Prof Asad kawachana kuw asilimia 60 ya wasomi hawana wanachokijua zaidi ya kusifu na kupiga makofi, Huyu Mzee Mungu amuweka anachana mkeka sana yani, limtu lima ma pHD hata matatu lakini ni la hovyo kuliko polepole, sasa embua ngalia Bashiru huyu eti ndio alikua mwalimu wa Chuo stupide kabisa kama sio stiupidy

naye kick tu zinamsumbua.

akipewa chaka hapo anaanza kuimba.
 
Bado nakuna kichwa Kabudi kutumia usafiri wa ndege kufuata dawa Madagascar Kama vile kuondoa baiskeli kuingia porini kuchimba mitishamba
 
Kuwaelewa inahitaji akili nyingi sana...

Mwenye akili nyepesi kama wewe unaona mauzauza tu
 
Kwa jina la Jamhuri salaam wana bodi,

Tatizo ni nini wana jamvi?

Kila ninapopata nafasi ya kumfatilia profesa na baadhi ya madaktari wanaofahamika ambao wengi wao wana nyadhifa mbalimbali hasa za kisiasa, nashindwa kuelewa kama ni wasomi au la!

Unapata professa anatoa povu tu na haeleweki hata kwenye jambo ambalo hata mtu alieacha shule darasa la 6 kama mimi analielewa vizuri kabisa, akipewa nafasi ana fanya maamuzi ya hovyo kabisa.

Ni muda mwafaka tujiulize elimu ya juu ina mchango gani kwenye jamii na kwenye taifa kwa ujumla.

Kazi iendelee.
Zamani nilikuwa nasikia Proffesor nahisi uelewa wake ni mkubwa kuliko Binadamu wa kawaida Kumbe ni uwezo wa kuelezea Jambo la kiswahili kwa kiingereza kwa kukariri elimu ya kikoloni tuu
 
Kwa jina la Jamhuri salaam wana bodi,

Tatizo ni nini wana jamvi?

Kila ninapopata nafasi ya kumfatilia profesa na baadhi ya madaktari wanaofahamika ambao wengi wao wana nyadhifa mbalimbali hasa za kisiasa, nashindwa kuelewa kama ni wasomi au la!

Unapata professa anatoa povu tu na haeleweki hata kwenye jambo ambalo hata mtu alieacha shule darasa la 6 kama mimi analielewa vizuri kabisa, akipewa nafasi ana fanya maamuzi ya hovyo kabisa.

Ni muda mwafaka tujiulize elimu ya juu ina mchango gani kwenye jamii na kwenye taifa kwa ujumla.

Kazi iendelee.
Usinikumbushe Prof. Muhongo
 
Msomi hawezi kuwa anaongea siasa, press ya Assad haina tofauti na press ya Chadema.
Siasa zinaongelewa na wasio wasomi kama akina kabudi, lipumba, magufuli, na wale wengine wote wa sisiemu?
 
Back
Top Bottom