Mapumziko ya Kitaifa baada ya Ushindi wa Taifa Stars

Mapumziko ya Kitaifa baada ya Ushindi wa Taifa Stars

Kwan kila group zinaend timu mbili wakuu?
 
KOCHA AFANYIE KAZI YAFUATAYO:

1. Aachane kabisa na lile soka tulilocheza ugenini kule cape verde la kupaki basi

2. Ashambulie mwanzo mwisho na amiliki mpira muda wote ili kumyima adui mwanya wa kutuangamiza.

3. Wacheze pasi ndefu za chini chini lakini wakijiloga kucheza mipira ya juu wameumia maana majamaa ni marefu sana na nimesikia kuwa wameapa bora wafie uwanjani mbele ya mashabiki wao kuliko kufungwa.

4. Apunguze kumwamini sana SAMATTA na kumwogopa kwani mara nyingine hata kikosi anapanga yeye na kuwapendelea marafiki zake ambao viwango vyao vimeshaashuka ili kuwarudisha kwenye chati kama akina ULIMWENGU.

5. Wasikate tamaa mbele ya kelele za mashabiki wao amabao watakuwa wengi sana hata kama wakiwa wakwanza kufunga, wapambane na kurudisha bao hilo na kuongeza ushindi.

BAADA YA USHINDI WAKATI WA KUPOKEA TIMU.

1. Brass band za majeshi yote ziwe uwanjani na vifaa vyao na uniform full mzuka kuwapokea vijana hao.

2. Kikosi cha polisi cha farasi kitangulie wakiwa wamebeba bandera ya Taifa

3. Liwepo gari kubwa la wazi lililopambwa rangi za Taifa liwabebe mashujaa hao

4. Wananchi wakusanyike barabarani na ikiwezekana maduka yafungwe na shughuli zote zisimame kama ilivyokuwa alipokuja PAPA PAUL II

5. Ziwepo mbwembwe na sherehe za kila namna na vyombo vya habari vya nje na ndani virushe live ili h abari ziwafikie raisi wa fifa, caf na musonye popote walipo duniani.

6. Viongozi wa serikali wafike uwanjani wakiwa wamevalia jezi za timu ya taifa ili kuwapokea mashujaa.

7. Maandamano yapite mjini wakiongozwa na kundi kubwa la brass band za majeshi yote huku wakitembea polepole na kupiga nyimbo za kizalendo kama tuna imani na.... oya..oya..
Mkuu umetoa maoni mazuri sana kwenye mapokezi
 
Kama nitavyopovuka siku ukipigwa mawe mpaka kufa pale Tehran
She promised me she will protect me with her life if something open. Anatamani sana tulane denda
Screenshot_2018-11-17-21-01-12.png
Screenshot_2018-11-17-21-01-12.png
 
Sas timu yetu ilivo ya kise*/"==nge utakuta wanaenda kupigwa kuanzia dakika ya 88 tena wanapigwa tatu

Yaan taamim kam tumeshinda mpak refa apulize filimbi ya mwisho
Mkuu mech saa ngap??
 
Nashangaa Humu Ndan Weng Mmegeuka Wageni Na Hii Timu
Mechi Zisizo Na Maana Tunashinda Lakin Game Za Kuhitaji Matokeo Huwa Tunapoteza Kiboya Sana
Kesho Lushoto 1 Starz 0
 
we unafanya shuguri gani, hivi unajua ni kiasi gani cha mapato tunayopoteza siku za mapumziko halafu mnataka muondokane na umasikini
 
Yaani Stars wasiposhinda leo,adhabu yao inabidi iwe ya kubangua korosho zote za kule kusini
 
Siku za kusheherakea ushindi zinaweza kutangazwa, lakini si siku za mapumziko.

Unajifanya hukumbuki kwenye maombolezo ilivyokuwa
 
KOCHA AFANYIE KAZI YAFUATAYO:

1. Aachane kabisa na lile soka tulilocheza ugenini kule cape verde la kupaki basi

2. Ashambulie mwanzo mwisho na amiliki mpira muda wote ili kumyima adui mwanya wa kutuangamiza.

3. Wacheze pasi ndefu za chini chini lakini wakijiloga kucheza mipira ya juu wameumia maana majamaa ni marefu sana na nimesikia kuwa wameapa bora wafie uwanjani mbele ya mashabiki wao kuliko kufungwa.

4. Apunguze kumwamini sana SAMATTA na kumwogopa kwani mara nyingine hata kikosi anapanga yeye na kuwapendelea marafiki zake ambao viwango vyao vimeshaashuka ili kuwarudisha kwenye chati kama akina ULIMWENGU.

5. Wasikate tamaa mbele ya kelele za mashabiki wao amabao watakuwa wengi sana hata kama wakiwa wakwanza kufunga, wapambane na kurudisha bao hilo na kuongeza ushindi.

BAADA YA USHINDI WAKATI WA KUPOKEA TIMU.

1. Brass band za majeshi yote ziwe uwanjani na vifaa vyao na uniform full mzuka kuwapokea vijana hao.

2. Kikosi cha polisi cha farasi kitangulie wakiwa wamebeba bandera ya Taifa

3. Liwepo gari kubwa la wazi lililopambwa rangi za Taifa liwabebe mashujaa hao

4. Wananchi wakusanyike barabarani na ikiwezekana maduka yafungwe na shughuli zote zisimame kama ilivyokuwa alipokuja PAPA PAUL II

5. Ziwepo mbwembwe na sherehe za kila namna na vyombo vya habari vya nje na ndani virushe live ili h abari ziwafikie raisi wa fifa, caf na musonye popote walipo duniani.

6. Viongozi wa serikali wafike uwanjani wakiwa wamevalia jezi za timu ya taifa ili kuwapokea mashujaa.

7. Maandamano yapite mjini wakiongozwa na kundi kubwa la brass band za majeshi yote huku wakitembea polepole na kupiga nyimbo za kizalendo kama tuna imani na.... oya..oya..
ulianza vizuri ila mwishoni naona tumbo limevurugika, umeharisha sana.
 
Back
Top Bottom