GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mapungufu haya yafanyiwe Kazi ili Simba SC ya Msimu ujao iwe Moto na tusizoeleke kuishia Robo Fainali CAFCC
1. Kocha Robertino asiwe Mzito au Muoga kufanya Sub kama anavyoonekana na alivyofanya Jana na Kutugharimu.
2. Kuwe na Zoezi maalum la Kupiga Penati mara kwa mara katika Uwanja wa Mazoezi.
3. Usajili Kabambe ufanywe kwa Nafasi za Beki wa Kati, Kiungo halisi wa Ukabaji, Kiungo Mchezeshaji na Mshambuliaji hatari.
4. Timu iwe ( iajiri ) Mtaalam wa Saikolojia kwani kuna nyakati unawaona Wachezaji wa Simba SC wameathirika na Tukio / Hali fulani inayowatoa Mchezoni upesi.
5. Wachezaji wa Simba SC waambie Simba SC Kwanza na Umaarufu wao baadae.
6. Klabu iwe na Utaratibu wa Kucheza Mechi za Kirafiki na Vilabu Vikubwa mno Barani Afrika ili Kujiimarisha zaidi.
7. Klabu iwe na Chief of Scout wa Kuvaa Viatu vizuri vya Marehemu Zakaria Hanspoppe ( Mapama ) ambaye atakuwa anatuletea Wachezaji wa Kucheza na siyo Wachezaji wa Majaribio na wa 10% ambao Wanatugharimu.
1. Kocha Robertino asiwe Mzito au Muoga kufanya Sub kama anavyoonekana na alivyofanya Jana na Kutugharimu.
2. Kuwe na Zoezi maalum la Kupiga Penati mara kwa mara katika Uwanja wa Mazoezi.
3. Usajili Kabambe ufanywe kwa Nafasi za Beki wa Kati, Kiungo halisi wa Ukabaji, Kiungo Mchezeshaji na Mshambuliaji hatari.
4. Timu iwe ( iajiri ) Mtaalam wa Saikolojia kwani kuna nyakati unawaona Wachezaji wa Simba SC wameathirika na Tukio / Hali fulani inayowatoa Mchezoni upesi.
5. Wachezaji wa Simba SC waambie Simba SC Kwanza na Umaarufu wao baadae.
6. Klabu iwe na Utaratibu wa Kucheza Mechi za Kirafiki na Vilabu Vikubwa mno Barani Afrika ili Kujiimarisha zaidi.
7. Klabu iwe na Chief of Scout wa Kuvaa Viatu vizuri vya Marehemu Zakaria Hanspoppe ( Mapama ) ambaye atakuwa anatuletea Wachezaji wa Kucheza na siyo Wachezaji wa Majaribio na wa 10% ambao Wanatugharimu.