Future president
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 144
- 39
fid q walimpa tuzo za bure hakustahili kupewa zile tuzo,
ney wa mitego ndio alistahili kuchukua mwana hiphop bora, lakini hata kwa category hakuwepo!
Anachoimba Ney ni Hip-hop?
fid q walimpa tuzo za bure hakustahili kupewa zile tuzo,
ney wa mitego ndio alistahili kuchukua mwana hiphop bora, lakini hata kwa category hakuwepo!
Ney wa mitego anaimba Taarabu ngumu
fid q walimpa tuzo za bure hakustahili kupewa zile tuzo,
ney wa mitego ndio alistahili kuchukua mwana hiphop bora, lakini hata kwa category hakuwepo!
pamoja MKUU
kumfananisha ney na fid Q nikuidhalilisha na kuidhalau hip hip
fid q walimpa tuzo za bure hakustahili kupewa zile tuzo,
ney wa mitego ndio alistahili kuchukua mwana hiphop bora, lakini hata kwa category hakuwepo!
Mkuu turudi ktk thread yetu ya kubet, navojua Ney wa mitego haimbi hip hop,
fid q walimpa tuzo za bure hakustahili kupewa zile tuzo,
ney wa mitego ndio alistahili kuchukua mwana hiphop bora, lakini hata kwa category hakuwepo!
Ili hali kampuni bia ya bia ya kilimanjaro inapoteza pesa kwa kujua wasani wataonesha ushirikiano,badala yake hamna kitu,mfano wasanii kama jdee,mzee yusuph,hawakuwepo kwenye upewaji wa tuzo mnakuwa wapi?au dharau,halafu wapo wanaokosaga wanapiga kelele oooh mwaka unaokuja msiniweke,jamani tuheshimu watu na pesa zao wanapowekeza sehemu onyesheni ushirikiano