Future president
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 144
- 39
Ili hali kampuni bia ya bia ya kilimanjaro inapoteza pesa kwa kujua wasani wataonesha ushirikiano,badala yake hamna kitu,mfano wasanii kama jdee,mzee yusuph,hawakuwepo kwenye upewaji wa tuzo mnakuwa wapi?au dharau,halafu wapo wanaokosaga wanapiga kelele oooh mwaka unaokuja msiniweke,jamani tuheshimu watu na pesa zao wanapowekeza sehemu onyesheni ushirikiano