Mapungufu ya Lady Jaydee na kosa la kumwita Mwana FA kuwa MwanaFatuma

Mapungufu ya Lady Jaydee na kosa la kumwita Mwana FA kuwa MwanaFatuma

Huyu ruge sjui anawapa nini? Mnatetea ujinga tuu. Halafu tuhuma za kuwa pale kuna mashoga wengi inawezekana zina ukweli mbona hawakanushi? Silence means?
 
Itikadi yangu nipo pamoja na Mtu yoyote ambae anaonesha kuonewa!! Ruge anamtumia FA na hii sio Mara moja, jibwana hilo hutanua roho lake baya kwa vijana wengi ambao wanamsujudia, kwa Mara nyingine amemtumia huyu mtoto wa tanga kwa jide mbali na kina sugu!! Pambana JIDE raia tupo nyuma yako ningekua najua kunuti ningemsomea huyu mamba anaesumbua wasanii wetu!!

Mngese tu,kama hayupo tanzania sisi tufanyaje??,au anataka watu waamini ushenzi wako kwa kuwa upo muheza??,yaani unafiki tu kama upo nje unashoboka na mambo ya huku ya nn??,uko maisha yamekushinda??
 
hahaha 'wanawake wakiwezeshwa wanaweza' mmesema mwana nani?
 
Anajiona yeye ndio kila kitu akipiga shoo watu wote wakae kimya huo ni upuuzi. Jaydee amechemsha kwakweli kumuita jina la kike mwana fa. Akipata mtoto akili yake itatulia sasa ivi ame panic

katika jamii hata mwanamziki hawe vipi lazima hapate watu wanaomchukia na ukumbuke binadamu si wakamilifu hata wewe pia una mapungufu yako usipo mkubali wewe wengine watamkubali, mwacheni dada wa watu apumue kah!
 
Mngese tu,kama hayupo tanzania sisi tufanyaje??,au anataka watu waamini ushenzi wako kwa kuwa upo muheza??,yaani unafiki tu kama upo nje unashoboka na mambo ya huku ya nn??,uko maisha yamekushinda??

Hayajanishinda,yamekushinda wewe unaeshabikia muziki na ujinga wa msanii pia
 
Huyu dada mswahili kweli, I can say it loud and clear.....JayDee has attitude problem, nimeacha kusikiliza nyimbo zake kwasababu mojawapo nyingi za nyimbo zake majungu, kila mtu ni haters kwake. Kwa maneno hayo bora tu nisikilize rusha roho.... Other than that ni mwanamuziki mzuri
 
Umetumwa na huyo Ruge nyonya damu za wasanii kuja kumtetea na kupiga propaganda hapa ushauri wako wa kijinga mpelekee Ruge ili aendelee kunyonya wasanii hivi kwani Ruge na Mwanafa ni Ma Mungu mpaka wa nyenyekewe na kuombwa msamaha shem on you.
 
Kwa jinsi nlivyokuwa naufaham ukaribu wa fa na jdee sikutegemea kam wangefikia hpa ila kwa nguvu ya pesa hta milima inahamishwa, bnafsi naamin fa ni msaliti na kakosa msimamo wa kusimamia anachokiamin kwn kam ilitokea awamu a kwnza kupanga trh moja ya show bas yasingejirudia tena ambayo imethibitisha kwmba fa anatumika, ofcoz yaweza kuwa pia n bzness technique ambayo itamfaidisha zaid jdee kwa kupata zaid wateja kutokana na sympath, bt plz fa cum back umma ulikuamin lkn kutokana na hili umeharibuuu mazima!!!
 
Kutokuwa tz sio sababu ya kutokujua nn kinaendelea,naweza kujua mengi japo siko huko kuliko we uliepo huko.

kama ni hvyo kulikuwa na haja gani ya kusema kwa haupo tz?

"mkoloni ametuaribu kimatendo na kufikiri shukran kwa nyerere kuendeleza kiswahl tunamfaglia mzungu wkt tuna shda tele kingeleza bila hela<cc Nyani Ngabu> ni sawa na kupiga kelele
 
Last edited by a moderator:
Kwa jinsi nlivyokuwa naufaham ukaribu wa fa na jdee sikutegemea kam wangefikia hpa ila kwa nguvu ya pesa hta milima inahamishwa, bnafsi naamin fa ni msaliti na kakosa msimamo wa kusimamia anachokiamin kwn kam ilitokea awamu a kwnza kupanga trh moja ya show bas yasingejirudia tena ambayo imethibitisha kwmba fa anatumika, ofcoz yaweza kuwa pia n bzness technique ambayo itamfaidisha zaid jdee kwa kupata zaid wateja kutokana na sympath, bt plz fa cum back umma ulikuamin lkn kutokana na hili umeharibuuu mazima!!!

True talk!
 
Mtu anaweza kuitwa jina la kike kwasababu tu ya tabia zake, mi nadhani tumsubiri Jide mwenyewe atufafanulie kwamba alilenga nini?
 
Unajua wakati mwngne saikolojia tamu sana...ID nyingi huendana na maneno ambayo mtu hutamka mara kwa mara!kwa mfano mimi "barafu" watu wangu wa karibu wanajua kwanini nimetumia jina "barafu" hapa JF...Tunaomfahamu MwanaFAtuma kwa ukaribu tunajua kwanini ameji-"ID" kama "freeideas"...umechemka sana binamu kutumika na kina Rugemalila...kuna maisha zaid ya Muziki
 
Mkuu, umeonesha udhaifu mkubwa katika uandishi wako!

Na hii inaonesha umejisajili Jana tarehe 11/06 kwa sababu yakuja kuonesha/kutoa hisia zako kwa Judith Wambura!

Ungeandika na ya upande wa pili wa "Hamis Mwinjuma" ili nasi tuyajue kuona jamaa ni msafi kiasi gani hata ukatokwa na povu namna hiyo!

Mwisho naomba lete na ya upande wa pili wa "Swahiba" yako ili tuendelee kuchangia.
 
itakuwa mkuu unawakubali wote mwanafatuma na joka anaconda ndio tabu yako cha muhimu wewe kaa pembeni usikilizie tu maana mwisho wa siku wote wanapiga hela..
 
Back
Top Bottom