Ni hulka ya mwanamke kupenda machawa; mwanamke anapenda mno kusifiwa. Effective techniques za kumtongoza mwanamke zinajumuisha ufundi wa kumpamba kwa kila aina ya sifa. Hata kama ni ugly wewe muambie uzuri alionao ni mwisho wa maneno. Hapo hata ukimpigia simu kila siku atazipokea tu ili apate tena hayo mapambo!Raisi Samia ni mwanasiasa lakini anapenda umashuhuri kama Trump. Mapungufu yanakuja pale ambapo
Uchawa unazidi
Uzalendo. Angetakiwa kupenda vilevile haki, kupenda kupigana na rushwa kama anavyopenda umashuhuri. Atapata shida akimaliza uongozi maana watambadilikia hao machawa fake
Jiandae kuona mengi (usiyoyatarajia) mwaka huu wa uchaguzi. Rais atacheza (na walalahoi) kila aina ya mziki: Singeli, Mdundiko, Mdumange, Mduara, etc. Why? Kura at any cost!Rais anawezaje kuwa na ukaribu na watu kama Mwijaku,Mengele,Levo na mbaya kuliko yote yule kiumbe Dotto Magari, achilia mvuta sigara bwege Harmonize ?π‘
Nyie msiwapende muone kama watakuwa mastaa au mataa.Ila machawa wamezidi kumpenda Samia kuliko hata Samia anavyowapenda
Maisha usipojipanga yanakupanga.AY Pa1 na kuishi mambelee, kumbe bado ana akili za kwa mtogolee? LOL
Chama dola CCM kinatumia mfumo wa unyumbu wa kisiasa,Tabia ya kupenda Chawa haina Afya kwa Taifa.
Viongozi wetu wanagekuwa na IQ za kutosha wangekuwa wanapigania kuacha alama kama Katiba Mpya kuacha Tume HURU YA Uchaguzi kujenga taasisi imara nk.
Vitu ambavyo atakumbukwa vitamfanya akumbukwe na vizazi na vizazi.
π€οΈπββοΈβοΈπ―πππππ€ππNi hulka ya mwanamke kupenda machawa; mwanamke anapenda mno kusifiwa. Effective techniques za kumtongoza mwanamke zinajumuisha ufundi wa kumpamba kwa kila aina ya sifa. Hata kama ni ugly wewe muambie uzuri alionao ni mwisho wa maneno. Hapo hata ukimpigia simu kila siku atazipokea tu ili apate tena hayo mapambo!
Mkuu punguza ubaguzi na ukaburu.Rais anawezaje kuwa na ukaribu na watu kama Mwijaku,Mengele,Levo na mbaya kuliko yote yule kiumbe Dotto Magari, achilia mvuta sigara bwege Harmonize ?π‘