Mapungufu ya Rais Samia: Kupenda machawa

Mapungufu ya Rais Samia: Kupenda machawa

Mkuu kwani uchawa umeanza wapi, kamulize misiba!!!
Musiba alikuwa anatafuta cheo kwa nguvu, alilazimisha sana. yule ni mjasiliamali alitafuta umaarufu kwa nguvu. Hawa wanalipwa tangu mwanzo, waangalie hata nyimbo hawaimbi tena siku hizi, pesa za ccm zmejaa.
 
1740365308255.png
 
Raisi Samia ni mwanasiasa lakini anapenda umashuhuri kama Trump. Mapungufu yanakuja pale ambapo
Uchawa unazidi

Uzalendo. Angetakiwa kupenda vilevile haki, kupenda kupigana na rushwa kama anavyopenda umashuhuri. Atapata shida akimaliza uongozi maana watambadilikia hao machawa fake
Umemdhalilisha Trump. Mweke Samia peke yake ndo anapenda Uchawa
 
Back
Top Bottom