Mapungufu ya Rais Samia: Kupenda machawa

Mkuu kwani uchawa umeanza wapi, kamulize misiba!!!
Musiba alikuwa anatafuta cheo kwa nguvu, alilazimisha sana. yule ni mjasiliamali alitafuta umaarufu kwa nguvu. Hawa wanalipwa tangu mwanzo, waangalie hata nyimbo hawaimbi tena siku hizi, pesa za ccm zmejaa.
 
Umemdhalilisha Trump. Mweke Samia peke yake ndo anapenda Uchawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…