Mapungufu ya show ya jide ni haya


Kaka ni pm mikutumie angalau vocha,hizo tuzo za miaka yote nazo alitengeneza bifu???,mafanikio aliyonayo jide ni kutokana na support ya mashabiki wake ambao ni wengi,huyo cjui wa wapi,hapana chezea anaconda wewe
 

tofauti yako na wabunge wetu ni ndogo sana unaanza na kupinga mwisho unasifia khaa..
 

hapo unaongea pumba, na kesi aliyoshitakiwa nayo ni ya kutengeneza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…