Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
ameuliwa alafu hajavunjika huwezi jirusha bila kuvunjika ni wazi ameuliwaGorofa 2 mtu kufa labda Afanye kama anaogelea adive kichwa kitangulieee.. Otherwise its a murder case not suicide sema bongo ndo imeishaa hiyoo!! Na kishindo cha kujitupa hakuna mtu yeyote aliesikia kweli kwa yale mazingira ya ile hotel.