Mapya yaibuka ofisa TRA anayedaiwa kujiua hotelini

Mapya yaibuka ofisa TRA anayedaiwa kujiua hotelini

RIP na ile nyumba yako nzuri ambayo umetumia miaka 10 kuijenga na kuishi kwa miaka 1 sasa ni mali halali ya wife wako uliyeishi nae miaka 2.
Na mabaharia washaanza mmendea wife kwa vijimaneno vya kumfariji
 
Gorofa 2 mtu kufa labda Afanye kama anaogelea adive kichwa kitangulieee.. Otherwise its a murder case not suicide sema bongo ndo imeishaa hiyoo!! Na kishindo cha kujitupa hakuna mtu yeyote aliesikia kweli kwa yale mazingira ya ile hotel.
alikuwa Tanga kwa kazi maalumuu
 
Unabamizwa kichwa ktk tyriz ukishakata moto unadaivishwa dirishani , if you can't fight them join them
 
Back
Top Bottom