Mapya yaibuka ofisa TRA anayedaiwa kujiua hotelini

Mapya yaibuka ofisa TRA anayedaiwa kujiua hotelini

Hii kauli yako imenifanya niwaelewe wanaosema ndoa ni utapeli.

Mama yake marehemu na baba yake, na ndugu zake wote waliomsaidia miaka mingii hawana mamlaka tena ya kukanyaga ndani ya hiyo nyumba.

Nyumba iliyojengwa kwa miaka 10 Inakuwa mali ya mke alieishi na mume ndani ya hiyo nyumba mwaka mmoja tu wa ndoa yake
Maisha kweli yanakwaza watu...


Haki yake huyo mwanamke karithi kwa mumewe .

Wazazi na ndugu itakuwa wamesaidiwa Sana ndio.maana kachelewa kujenga na kuoa!
 
Alikuwa msabato nn na akajifanya analeta ujuaji na kuleta maadili ya kazi,..

Hakuna mafia watu mafia kama tra hawa wa kazi maalum kakifuatia na askari hivyo viyengo havichagui kasisi, imam, shehe, padri wala shemasi..

Ukiingia humo lazima uendane na msahafu au biblia yao, kinyume na hapo unawaishwa kuzimu.
 
By the way hiyo hoteli haina kamera?

Pia huyo mtu ana simu, wanaweza wakatazama simu yake kabla ya mauti kumfika ilikiwa locations zipi, muda upi na duration gani...

Pia kama kajirusha dirishani, wanapaswa wacheck uwepo wa finger prints kila mahali hadi kwenye fremu za madirisha maana kwa mtu anayejirusha lazima walau ashike sehemu ya dirisha n.k

Watazame pattern ya damu, kwa mtu aliyeanguka toka juu muonekano wa dimbwi la damu huwa na pattern yake, ndugu wanaweza wakafanya uchunguzi binafsi pia kwa kuwafikia wale mashahidi wa mwanzo, i believe kuna waliopiga picha...
ATLEAST YOU HAVE A POINT.
 
Alisema walimtilia shaka Richard kwa kuwa tangu jioni alisikika akizungumza kwa sauti kubwa akiwa chumbani kwake akisema anaogopa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo shahidi aliyesema kuwa marehemu alisikika akisema anaogopa akae kwa machale kama ni planned assassination si ajabu naye akamfata marehemu
 
Nchi hii bhana mtu anauawa kwa kulinda kodi zetu tupo kimya tuu...tunabaki kulialia JF...waunde Tume iwaumbue na huyo alietangaza chanzo cha Kifo ilitakiwa awe ndani...
 
By the way hiyo hoteli haina kamera?

Pia huyo mtu ana simu, wanaweza wakatazama simu yake kabla ya mauti kumfika ilikiwa locations zipi, muda upi na duration gani...

Pia kama kajirusha dirishani, wanapaswa wacheck uwepo wa finger prints kila mahali hadi kwenye fremu za madirisha maana kwa mtu anayejirusha lazima walau ashike sehemu ya dirisha n.k

Watazame pattern ya damu, kwa mtu aliyeanguka toka juu muonekano wa dimbwi la damu huwa na pattern yake, ndugu wanaweza wakafanya uchunguzi binafsi pia kwa kuwafikia wale mashahidi wa mwanzo, i believe kuna waliopiga picha...
Polisi wa bongo hawanaga hizi mbwembwe za kukagua murder scene ni kuzoa mzoga na kupeleka mochwari hakuna habari za kukagua viatu sijui fingerprints hizo hakuna mzoga ukipelekwa mochwari inapigwa post mortem ya mchongo imeisha hio
 
Gorofa 2 mtu kufa labda Afanye kama anaogelea adive kichwa kitangulieee.. Otherwise its a murder case not suicide sema bongo ndo imeishaa hiyoo!! Na kishindo cha kujitupa hakuna mtu yeyote aliesikia kweli kwa yale mazingira ya ile hotel.
Nimewaza hivyo pia, ghorofa ya pili hapana aisee.
 
I smell fish, there is foul play here, ni rahisi kujua kama aliuliwa sehemu nyingine, harafu akaletwa hapo, Ila kama hili game limechezwa na kuhusisha polisi, hakuna ukweli utajurikana,
Nchi hii imekaa kijambazi Sana.
 
I smell fish, there is foul play here, ni rahisi kujua kama aliuliwa sehemu nyingine, harafu akaletwa hapo, Ila kama hili game limechezwa na kuhusisha polisi, hakuna ukweli utajurikana,
Nchi hii imekaa kijambazi Sana.
Uruke kutoka hapo juu mpaka chini afu ufe Mimi nimewahi kuruka sehemu km hapo na sikuvunjika hata kope
Screenshot_20230801-085300.png
 
Back
Top Bottom