ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
Tatizo yanakushtaki menyewe ,na uchunguz yanafanya menyewe apo bila vibatala hutoboi šHivi kesi ikiwa kwamba abiria walijihami baada ya askari kuanza kumpiga konda makonde kesi itakuwaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo yanakushtaki menyewe ,na uchunguz yanafanya menyewe apo bila vibatala hutoboi šHivi kesi ikiwa kwamba abiria walijihami baada ya askari kuanza kumpiga konda makonde kesi itakuwaje.
Waendelee kupigwa tu..safiJeshi la Polisi mkoani Mara linawashikilia watu 18, wakiwemo dereva, kondakta na abiria 16, kwa tuhuma za kumpiga askari wa usalama barabarani aliyekuwa akikagua gari walilokuwa wamepanda. Tukio hilo lilitokea Septemba 18, 2024, saa 12 jioni katika mkoa wa Mara.
Akizungumza kuhusu tukio hilo, Ofisa Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Trafiki Kuu, Butusyo Mwambelo, amesema kuwa askari huyo alikumbwa na kipigo wakati akijaribu kushusha abiria waliokuwa wamesimama kwenye gari. Hata hivyo, kondakta wa gari hilo alifunga mlango na wote waliokuwa ndani ya gari, akiwemo dereva, kondakta, na abiria, walianza kumshambulia askari huyo.
āAskari wetu alikuwa akitekeleza wajibu wake wa kuwataka abiria waliokuwa wamesimama kwenye gari washuke. Lakini ghafla walimzonga kwa maneno ya kebehi, na kondakta kufunga mlango wa gari. Ndipo dereva, kondakta na abiria wao wakaanza kumpiga askari akiwa ndani ya gari. Je, kweli tumefika hatua hiyo kama Watanzania?ā alisema Mwambelo.
=============
Wananchi wanahasira sana hadi kufikia hatua ya kumtwaga askari mh tunapoelekea sasa ni balaa tupu!
Soma Pia: Abiria watakiwa kupaza sauti kwa Madereva wasiofuata Sheria za Usalama Barabarani
Waendelee kupigwa tu..safi
𤣠𤣠š¤£Style mpya ya maandamano, waandamanaji wanajazana kwenye dadala police ukijilengesha tu, wakufungulia mlango kisha wanafunga then wakikufungulia utachagua moja, kuendelea na hiyo kazi au kuacha, hahahahaha..... Hii mama itakua hajaipata kutoka kwa makachero wake.
"Lkn pia traffic wanatabia ya kujipiga na kujiumiza ili wapate huruma.
Hakuna sifa wala heshima kwa kupigwa kisa umeingia clashes na serikali. Ila pia hakuna anayetafuta sifa wala heshima kwa kuingia clashes na serikali, hao raia nahakika hawakufika tu na kkusimamisha gari na kuanza kumuadhibu askari.Sasa kuna faida gani na wanaenda kufia jela na huyo jamaa atafungiwa leseni yake na lastly sahii watakuwa wametepeta vibaya sana, sasa kuna faida gani? hivi ni sifa mtu kuvunjwa kiuno halafu akabaki kilema maisha yote kwa kuwa tu amepata heshima ya kuingia kwenye clashes na serikali?.
Wacha we.Sasa kuna faida gani na wanaenda kufia jela
NdiyoJe, kweli tumefika hatua hiyo kama Watanzania?ā
"Lkn pia traffic wanatabia ya kujipiga na kujiumiza ili wapate huruma.
Btw, kipigo ni kipigo tu."
Atakutana na KibatalaMaafande watakua wamekuza tu kesi uyu atakua alipigana na konda au dereva na abiria wakashangilia akaona awaonyeshe nguvu ya dola , huwezi kupigwa na watu 18 kwa pamoja ndani ya gari miundombinu na physics inakataa kabisa
pamoja na kutekeleza majukumu,hekima na heshima kwenye ofisi ya wenzio ni lazima,sasa kwa sababu wewe ni askali basi uanze tu kuwashusha watu wewe unafikiri inakuwaje?mfano watu tayari walikuwa wamefika mbali tayari na kituo walichoanzia safari inakuwaje kwa mfano? hata mimi nisingeshukaJeshi la Polisi mkoani Mara linawashikilia watu 18, wakiwemo dereva, kondakta na abiria 16, kwa tuhuma za kumpiga askari wa usalama barabarani aliyekuwa akikagua gari walilokuwa wamepanda. Tukio hilo lilitokea Septemba 18, 2024, saa 12 jioni katika mkoa wa Mara.
Akizungumza kuhusu tukio hilo, Ofisa Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Trafiki Kuu, Butusyo Mwambelo, amesema kuwa askari huyo alikumbwa na kipigo wakati akijaribu kushusha abiria waliokuwa wamesimama kwenye gari. Hata hivyo, kondakta wa gari hilo alifunga mlango na wote waliokuwa ndani ya gari, akiwemo dereva, kondakta, na abiria, walianza kumshambulia askari huyo.
āAskari wetu alikuwa akitekeleza wajibu wake wa kuwataka abiria waliokuwa wamesimama kwenye gari washuke. Lakini ghafla walimzonga kwa maneno ya kebehi, na kondakta kufunga mlango wa gari. Ndipo dereva, kondakta na abiria wao wakaanza kumpiga askari akiwa ndani ya gari. Je, kweli tumefika hatua hiyo kama Watanzania?ā alisema Mwambelo.
=============
Wananchi wanahasira sana hadi kufikia hatua ya kumtwaga askari mh tunapoelekea sasa ni balaa tupu!
Soma Pia: Abiria watakiwa kupaza sauti kwa Madereva wasiofuata Sheria za Usalama Barabarani
Hapo mwanzoni Samia alionekana kuchukia ujinga unaoendelea sasa hivi. Sasa hivi anauendorse.View attachment 3101783QUOTE OF THE DAY : "This is a time to bury our differences, and be one as a nation," - SAMIA SULUHU HASSAN #quote #quoteoftheday #tanzania #siasa #africa #politics #diplomacy #umoja
Hilo wameacha wewe ufanye.kuua mtu ni jambo gumu kiasi.Ilibidi wamuue kabisaa, ili iwe fundisho kwa wengine. Lol
Kwamba ukikutwa unabaka ila unakaribia kumwaga uachwe sababu unakaribia kuridhika.pamoja na kutekeleza majukumu,hekima na heshima kwenye ofisi ya wenzio ni lazima,sasa kwa sababu wewe ni askali basi uanze tu kuwashusha watu wewe unafikiri inakuwaje?mfano watu tayari walikuwa wamefika mbali tayari na kituo walichoanzia safari inakuwaje kwa mfano? hata mimi nisingeshuka