Mara: Abiria 16, Dereva na Kondakta wakamatwa kwa tuhuma za kumpiga Askari wa Usalama Barabarani

Waendelee kupigwa tu..safi
 
🤣 🤣 🤣
 
Hakuna sifa wala heshima kwa kupigwa kisa umeingia clashes na serikali. Ila pia hakuna anayetafuta sifa wala heshima kwa kuingia clashes na serikali, hao raia nahakika hawakufika tu na kkusimamisha gari na kuanza kumuadhibu askari.

Tatizo la nchi hii, askari na baadhi ya wafanyakazi wa serikalini wanajiona wapo juu ya sheria, na kuwakosea adabu wengine kwa makusudi kabisa, na hapo ndipo raia wanachukua sheria mkononi kufanya kama kilichofanya na hao jamaa wa Mara.
 
"Lkn pia traffic wanatabia ya kujipiga na kujiumiza ili wapate huruma.
Btw, kipigo ni kipigo tu."

Your browser is not able to display this video.
QUOTE OF THE DAY : "This is a time to bury our differences, and be one as a nation," - SAMIA SULUHU HASSAN #quote #quoteoftheday #tanzania #siasa #africa #politics #diplomacy #umoja
 
Maafande watakua wamekuza tu kesi uyu atakua alipigana na konda au dereva na abiria wakashangilia akaona awaonyeshe nguvu ya dola , huwezi kupigwa na watu 18 kwa pamoja ndani ya gari miundombinu na physics inakataa kabisa
Atakutana na Kibatala
 
pamoja na kutekeleza majukumu,hekima na heshima kwenye ofisi ya wenzio ni lazima,sasa kwa sababu wewe ni askali basi uanze tu kuwashusha watu wewe unafikiri inakuwaje?mfano watu tayari walikuwa wamefika mbali tayari na kituo walichoanzia safari inakuwaje kwa mfano? hata mimi nisingeshuka
 
Kwamba ukikutwa unabaka ila unakaribia kumwaga uachwe sababu unakaribia kuridhika.

Hizi akili wengi ndani ya hilo gari mngelala mahabusu badala ya kuwahi mnakokwenda.

Nyie wabongo bana mshibe mpate nguvu za kutype kwenye mitandao ila wengi wenu ufikiri wenu huwa ni wa mashaka sana.hapo jamaa angesema achukue elfu 2 kuna fala tena angetoa ifinix yake aaanze kumrekodi,kaamua sheria ifatwe tena mnampiga mawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…