Mara: Bibi na wajukuu wake wasombwa na mafuriko

Mara: Bibi na wajukuu wake wasombwa na mafuriko

Boran Jakutay

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
110
Reaction score
259
Bibi Ghati Amon Mwita (63), Johnson Denis (10), na Vailet Denis (03) wakazi wa Mji wa Tarime wamepoteza maisha baada ya nyumba waliokuwa wanaishi kando ya Mto Wainani kusombwa na maji usiku wa kuamkia leo. Katika tukio hilo, watu wawili walinusurika kwa kujishikilia kwenye miti.



Ghati.png
 
Lala salama mama na wajukuu zako

Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba huu
 
Back
Top Bottom