Mara clara vs second chance

Second chance ilinishika kumoyo......haya nyimbo zake zote naziimba hadi sasa......Mara Clara imenikuta niko busy sana.....siifuatilii......
 
Mara clara ni zaidi kulilo toto mara clara mama zao wapo siriz wana igiza haswa pakulia dah mpaka unapata hisia nawewe.
Mwisho wa reli kigoma gary man of action ni balaa yule.
 
second chance bwana ilikuwa nzuri yaan fupi tamu!! jasmin na traves
 
second chance bwana ilikuwa nzuri yaan fupi tamu!! jasmin na traves

Hapa sijui na changanya.....,.hivi second chance ni ya kifilipino au ya kivenezuela......? Nimelewa nini........
 
Second chance ni mwisho kwa mimi kuna binti wa ukwel issabela arroyo,huy dada nilipenda maisha yake san yupo serious sana na alivaa uhusika kupitiliza,kuna salvado,walter,valleria,rebbeca,angela,antonio,fellipe,cantalicia,don pedro donoso na wengine kibao casting ilishiba vby aiseeh..series ilikuw tamu sana..
 
Hapa sijui na changanya.....,.hivi second chance ni ya kifilipino au ya kivenezuela......? Nimelewa nini........

duuuh!! nilichanganya madawa hahaha niliifananisha na tamthilia nyingine ya kifilipino ilikuwa inaitwa chances ila second chance pia ni nzuri sana!!
 
Second chance ilikuwa haifai kuangalia na watoto.
Mara clara haikupi presha ya kushika remote ukiwa na watoto.
Kwa kweli zote ni nzuri.
I wish ningeona Maraclara tokea mwanzo kabisa, ooooh imefika mwisho!
 
Mara clara the best

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
The end. Mara.clara.
Tungoje star tv wapo vizur tusubiri kichupa kijacho.
 
Second chance ni zaidi ya tamthilia, mara clara kuna senerio unaona ni uigizaji tu. Gary has been too luck kiasi kwamba imeboa
 
Reactions: amu
Mara clara ni tamthilia ya kitoto sijawai kuona sijui kwanini watu walikuwa wanaipenda ? huwezi kuilinganisha na second chance hata robo .
 
Nilidhani Dompo imenitenda........


Nilikuwa naiskia tu hio DOMPOO...
Juzzi kati nilizitandika chupa mbili lakini sikuambulia chochote.
kweli nkakumbuka kuwezi kumfunika Nyoka kwa Tenga...so nikajichekecha mpaka nikatoka eneo lile na baada ya dakika kadhaa nikarudi na my Darling Grants na nikaanza kugida kwa raha zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…